GE2025 James Mbowe: Kesi ya Lissu Watu 300 hawafiki Mahakamani

GE2025 James Mbowe: Kesi ya Lissu Watu 300 hawafiki Mahakamani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
James Mbowe ambaye ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), anasema pamoja na CHADEMA kukubalika kwa wananchi lakini hata watu 300 hawafiki mahakamani kusikiliza kesi ya mwenyekiti wa chama hiko Tundu Lissu.

 
Anamaanisha nn, kwamba watu wengi kutokwenda mahakamani ni kwamba hawamuungi mkono lissu?
Hebu mkumbusheni, hakuiona nyomi mikutano ya lissu kabla akamatwe...hadi ccm wakaingia kiwewe na kuanza kuifanyia CHADEMA fitna kibao hadi leo.
Ile mikutano isingekuwa na impact ma ccm hadi leo ungekuta hawaangaiki na CHADEMA!
 
James Mbowe ambaye ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), anasema pamoja na CHADEMA kukubalika kwa wananchi lakini hata watu 300 hawafiki mahakamani kusikiliza kesi ya mwenyekiti wa chama hiko Tundu Lissu.

Anawasanuenu kwamba uk8jufanya kuipinga serikali, watanzania watakukimbia, utabaki Mwenyewe na familia yako.

Kwa k8fupi ametoa code kwamba kwa tabia za watanzania ndiyo maana baba yake akaamua kuwawahi na kwenda kuwauza kabla hawajamuacha kafilisika
 
Nae Mbowe ni mwana mtandao kama anavyosema Humphrey pole pole , Wakalidhiana Wana mtandao wao kwa wao, Sasa tunahitaji malidhiano ya wote.
 
Back
Top Bottom