PreGE2025 James Mbowe alaani Kitendo cha Chadema kukaa kimya kushambuliwa kwa Mwenezi BAWACHA Bi. Sigrada Mligo

PreGE2025 James Mbowe alaani Kitendo cha Chadema kukaa kimya kushambuliwa kwa Mwenezi BAWACHA Bi. Sigrada Mligo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
 
Mashabiki maandazi wa Chadema wanaona ni sawa tu. Sasa hivi chadema ukitofautiana mawazo na viongozi unapigwa mpaka unalazwa.
 
Hill halijaja Kwa Bahati mbaya. Hate mbowe hajatoa pesa wala kupiga kampeni popote pale wakati wa uchaguzi. Kura alizopata zilitokana na watu wa MFUMO (TISS).
Haya siyo maneno yangu binafsi ni maneno ya walio karibu na mbowe na wana ccm
 
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
Mapandikizi ya CCM yanazidi kujidhihirisha,watu wenye akili hawawezi kukumbwa na hadaa ya mpuuzi Amos Makalla na siasa zake za hadaa.
 
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
Hivi mwanachama kukishambulia chama chake inaashiria nn, yeye angeishia tu kulaani angepunhukiwa nn.
 
Mashabiki maandazi wa Chadema wanaona ni sawa tu. Sasa hivi chadema ukitofautiana mawazo na viongozi unapigwa mpaka unalazwa.
Huyo James Mbowe kuna operation ya chama iitwayo tonetone weka post yake akihamasisha uchangiaji.
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
 
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
Kwani yeye huyu James Mbowe siyo CHADEMA hata ajilaumu..?

Sikudhani kuwa kumbe huyu jamaa hana akili na ufahamu kwa kiwango hiki...

Anataka CHADEMA ijiingize kwenye mtego wa kijinga, kishamba na kipumbavu hivi uliotengenezwa na CCM kwa kushirikiana na huyu dada mamluki chapombe na kundi lake...?

No way...!

CHADEMA is better than that...
 
Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA James Mbowe ameeleza kuwa Kitendo cha Chadema kukaa kimya kwa siku takribani saba tangu kushambuliwa kwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa Chadema BAWACHA Bi. Sigrada Mligo, sio kitendo cha kiungwana, akikosoa pia taarifa ya Chadema Taifa ya leo Machi 31, 2025 kushindwa kuwakemea aliowaita "wahuni" waliompiga Mwenezi huyo akiwa Mkoani Njombe.

Shambulio la kudhuru mwili alilolipata Katibu Mwenezi wa Bawacha lilitokea Machi 25, 2025 wakati wa kikao cha ndani cha Viongozi wa Kitaifa wa Chadema, waliokuwa wakikutana Mkoani Njombe chini ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za kueneza kuhusu vuguvugu la No Reforms, no Election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Ghasia Ndani ya CHADEMA: Mwenezi wa BAWACHA Taifa ashambuliwa na Walinzi wa Heche


"Tukio alilofanyiwa Mwenezi wa Bawacha Taifa Sigrada Mligo sio la kiungwana wala kibinadamu. Kitendo cha Chama kukaa kimya na leo ndiyo wanakuja na barua badala ya kukemea wahuni waliompiga Sigrada na kuwachukulia hatua wanasema wanachunguza kama ni kweli. Swali langu ni kwanini Hawajalaani tukio hili? Siyo Chama wala Bawacha Taifa? Umuhimu wa kuandika barua umekuja baada ya CCM kuonesha ubinadamu wao kwa Sigrada?" Ameandika Mbowe.

Kauli ya James Mbowe imekuja saa chache mara baada ya andiko lingine la aliyekuwa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Chadema, John Mrema kueleza kusikitishwa na ukimya wa Chadema, Akilaani namna ambavyo Chama hicho kimekuwa kikimtisha Mwenezi huyo wa Bawacha.

"Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa mtandaoni. Chama hakikutoa pole kwa mgonjwa ,mbona kinatoa pole hata kwa viongozi wa CCM wanapopatwa na majanga ? Huu uadui wa kushindwa kumpa pole kiongozi umeanza lini?Chama kinamtishia mgonjwa na kumpangia nani wakumpa faraja na nani hatakiwi kwenda kumpa faraja." Ameandika John Mrema.
Ni kweli walitakiwa kukemea haraka sana, kuwa karibu na aliyepigwa, kumtafuta na kumfikisha mahakamani aliyempiga Sigrada, then Sigrada akipona kamati ya maadili imshughulikie.
 
Ni kweli walitakiwa kukemea haraka sana, kuwa karibu na aliyepigwa, kumtafuta na kumfikisha mahakamani aliyempiga Sigrada, then Sigrada akipona kamati ya maadili imshughulikie.
Cdm haina muda wa kuhangaika na hizo drama za kiccm
 
Huyu dogo James atakuwa mlevi wa Konyagi ndiyo maana anamtetea huyo dada mraibu wa pombe aina ya Konyagi.
 
Back
Top Bottom