Wakati wa mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Aprili 8, 2026, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe kupitia chama cha CHAUMMA, Sigrada Mligo, amesema hotuba ya Waziri Mkuu "Ni hotuba ambayo kama huijui Serikali ya Chama cha Mapinduzi, unaweza ukasahau taabu zote. Ni hotuba nzuri sana...