Mbatia anataka kutudanganya, narudia tena kusema Polisi sio wajinga hawawezi kuzuia mkutano kama taratibu zingefuatwa, Polisi ndio chombo pekee toch kitegemea kulinda amani na utulivu wa nchi, sasa inapo fikia kiongozi kama Mbatia anaanza kupotoka kwa kuto kuviheshimu vyombo vya ulinzi hapo amefika pabaya.Mkuu karibu kujiongeza kidogo. Huyu sio muda wa mizaha tena. Polisi wameuawa na Hamza kauawa. Hawa wote ni Watz wenzetu waliokuwa na michango kwenye familia zao na kwetu pia kama Watz.
Sasa kejeli zako hazina maana hata kama wewe ni sehemu ya wanufaika wa matendo haya maovu au pia wewe ni sehemu ya Polisi. Hatujui ni Nani atafuata Kati yangu Mimi na wewe au na Yule/wale baada ya wale waliokwishatangulia.
Polisi wafanye kazi zao Kwa mujibu wa sheria. Mahakama itekeleze majukumu yake kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Nchi. Vivyo hivyo na Wanasiasa watekeleze majukumu yao Kwa mujibu wa sheria.
Haya yote yanayotokea hivi sasa yanassababishwa na CCM Kwa kuyaingilia mihimili mingine na kuyapangia namna ya kutekeleza majukumu yao. Kuna siku vyombo vya dola vitagomea CCM ktk maagizo yao. Ama wale wote watakaokuwa wamechoshwa watatatenda kama alivyotenda Yule Kada Mtiifu wa CCM yaani Mwamba Hamza.
Wewe unajulikana kwa ghulka yako ya kudharau wanawake akiwemo mama yako chuki yako imezidi hasa kwa mwanamke huyo kuwa mzanzibari tena muislamu sasa nakupasha rais samia yupo na ataendelea mpaka 2030 mungu akipenda chuki zako zitakumaliza mapema wewe na watu kama wewe.Anapwaya tu. Hahujumiwi. Hana calibre ya kuongoza Taifa. Haya mambo ya usawa wa kijinsia (+corona) vimemsaidia kufika hapo. Magufuli alisema kuwa alitaka mgombea mwenza awe mtoto wa Mwinyi. Magufuli akaamua kumpa Samia tu kwa vile ni mwanamke.
Katiba yetu inampa madaraka makubwa sana Rais. Kama ana akili ya kuyatumia vizuri, basi anafika mbali. Huyu mama hana hiyo akili kabisa. Mpaka 2025 hakuna mtu atakuwa na imani na wanawake tena kwenye nafasi kubwa za uongozi kama hiyo. Anawaharibia akina mama wote.
Jitahidi ufiche ujinga wako ule ulikua ni mkutano wa ndani unaotokana na katiba ya chama chao kwaiyo polisi ulikua hauwahusu pia ukizingatia gharama na muda uliotumika kuaandaa huo mkutano halafu Polisi wanatoa sababu za kijinga kuuzuiaMbatia anataka kutudanganya, narudia tena kusema Polisi sio wajinga hawawezi kuzuia mkutano kama taratibu zingefuatwa, Polisi ndio chombo pekee toch kitegemea kulinda amani na utulivu wa nchi, sasa inapo fikia kiongozi kama Mbatia anaanza kupotoka kwa kuto kuviheshimu vyombo vya ulinzi hapo amefika pabaya.
nia ya Mbatia ni kutaka kulichafua Jeshi la Polisi kwa Chuki za rafiki yake MBOWE kufunguliwa kesi ya Ugaidi!!
sasa Mbatia aange kuwa anaheshimu utawala wa sheria kwa kipindi hiki angenyamaza tu kwa kuwa tayari suala la Mbowe lipo Mahakamani, lkn Mbatia ameonyesha unafaki tangu siku Mbowe alivyo kamatwa, analazimisha aachiwe Mbowe sio Gaidi!! nilimshangaa sana!!! wakati huo huo alipo kuwa amekamatwa Sabaya alilipongeza Jeshi la Polisi na kusema limetenda haki!!! unaweza kuona unafiki wa huyu mtu,!! amekosa hata aibu!!!
kisa rafiki yake kafunguliwa kesi ya Ugaidi!! anaweweseka, aache sheria ifanye kazi yake asiingilie Mahakama.
Namshauri Mbatia asicheze ngoma ya CHADEMA wala asikubali kuwa KIBARAKA wa CHADEMA maana chadema imekuwa ni KICHAKA cha WAHUNI na wapinga amani ya nchi.
Mbayia aache unafiki, afuate sheria na taratibu zilizopo.
vyama vya siasa vyote vina fahamu utaratibu.Jitahidi ufiche ujinga wako ule ulikua ni mkutano wa ndani unaotokana na katiba ya chama chao kwaiyo polisi ulikua hauwahusu pia ukizingatia gharama na muda uliotumika kuaandaa huo mkutano halafu Polisi wanatoa sababu za kijinga kuuzuia
Kwaiyo serikali haitakiwi kuzodolewa, tuambie wewe wamekosea utaratibu gani na ni kwanini kila siku wapinzani ndio wanakosea utaratibu mbona hatuona hayo kwa CCM?vyama vya siasa vyote vina fahamu utaratibu.
Jeshi la polisi pia linafahamu utaratibu.
Mbatia aache kuuhadaa uma, aeleze alicho kosea sio kudanganya na kuchomeka chomeka mambo ambayo hayamhusu.
Mbatia aache kabisa kuikejeli na kuizodoa Serikali.
Mbatia ajue kuwa yeye hayupo juuu ya Sheria, walala yeye sio mmiliki wa Mama Tanzania.
Umeamua kunitukana kwa lugha yako ya KIHAYA...Una kiherehere kama cha UMURUSHAKA....KAISHO kisuburia ntakuwa Rumanyika..nyaano
Matusi yanakufikishiaje hoja zako?!!Mwenye kufikishwa orgasm unaye kwenye avatar yako...
Wala urojo hawastahili kuchaguliwa?!!Watasingiziwa mawaziri wake hapa haya achague wala urojo tuone wataifikisha wapi nchi zaidi ya kurudi kwenye mgao wa umeme na ufisadi
Aliyepanic ni yule aliyeanza MATUSI na ARGUMENTUM AD HOMINEM....nawe ndizo mbeleko zako hizo......🤣Umeshapanic 😂😂😂
Ccm ina wanaachama wangapi na nchi ina watu wangapi. Kwa nini ccm iwe ndio nchi. Nchi ni watu wote waliomo... Ni bora kusiwe na vyama kabisa tunachoshwa tu.... mtu kawaambia yeye na magufuli ni kitu kimoja ila wanaendelea kujidai kama samia ni tofauti. Sijui wamesahau kama serikali ni ileile ya ccm? Mama kama aliahidi mambo tofauti na msimamo wa ccm hilo ni shauri lake. Ccm ina yake kuhusu nchi hii wala sio ya mtu.
We ni mpmbafu mhe.alimkataa huyo mwigulu wako mse.nge wwHuyo mwigulu ndio hatari zaidi
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Vyama vya upinzani pekee ndivyo vinavyokiuka sheria ya kuendesha shughuli zao za kisiasa sio?? CCM ndio wenye haki na uelewa wa namba gani wawatumie Polisi kwenye kutekeleza majukumu yao sio?Mbatia anataka kutudanganya, narudia tena kusema Polisi sio wajinga hawawezi kuzuia mkutano kama taratibu zingefuatwa, Polisi ndio chombo pekee toch kitegemea kulinda amani na utulivu wa nchi, sasa inapo fikia kiongozi kama Mbatia anaanza kupotoka kwa kuto kuviheshimu vyombo vya ulinzi hapo amefika pabaya.
nia ya Mbatia ni kutaka kulichafua Jeshi la Polisi kwa Chuki za rafiki yake MBOWE kufunguliwa kesi ya Ugaidi!!
sasa Mbatia aange kuwa anaheshimu utawala wa sheria kwa kipindi hiki angenyamaza tu kwa kuwa tayari suala la Mbowe lipo Mahakamani, lkn Mbatia ameonyesha unafaki tangu siku Mbowe alivyo kamatwa, analazimisha aachiwe Mbowe sio Gaidi!! nilimshangaa sana!!! wakati huo huo alipo kuwa amekamatwa Sabaya alilipongeza Jeshi la Polisi na kusema limetenda haki!!! unaweza kuona unafiki wa huyu mtu,!! amekosa hata aibu!!!
kisa rafiki yake kafunguliwa kesi ya Ugaidi!! anaweweseka, aache sheria ifanye kazi yake asiingilie Mahakama.
Namshauri Mbatia asicheze ngoma ya CHADEMA wala asikubali kuwa KIBARAKA wa CHADEMA maana chadema imekuwa ni KICHAKA cha WAHUNI na wapinga amani ya nchi.
Mbayia aache unafiki, afuate sheria na taratibu zilizopo.