Je, ni akina nani wanaomhujumu Samia? Axis of Evil AKA timu dhalimu mwendazake!?
Mama hana uwezo wa kuongoza nchi, hilo liko wazi.Anapwaya tu. Hahujumiwi. Hana calibre ya kuongoza Taifa. Haya mambo ya usawa wa kijinsia yamemsaidia kufika hapo. Magufuli alisema kuwa alitaka mgombea mwenza awe mtoto wa Mwinyi. Magufuli akaamua kumpa Samia kwa vile ni mwanamke.
Katiba yetu inampa madaraka makubwa sana Rais. Kama ana akili ya kuyatumia vizuri, basi anafika mbali. Huyu mama hana hiyo akili kabisa. Mpaka 2025 hakuna mtu atakuwa na imani na wanawake kwenye nafasi kubwa za uongozi kama hiyo.
🤣 🤣 🤣 🤣Eti low IQ hakuna hujuma ....mmakunduchi hana maajabu
Je, ni akina nani wanaomhujumu Samia? Axis of Evil AKA timu dhalimu mwendazake!?
Tulimshauri awaondoe sukuma gangs akawa mbishiJe, ni akina nani wanaomhujumu Samia? Axis of Evil AKA timu dhalimu mwendazake!?
Tulimshauri awaondoe sukuma gangs akawa mbishi
Huyo mwigulu ndio hatari zaidiSasa inakula kwake avunje Baraza la Mawaziri kisha awapige chini wote timu dhalimu mwendazake AKA Axis of Evil wanaoongozwa na Mwigulu Nchemba.