chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,133
- 22,554
Ni wa Kaskazini but still ni kiongozi wa Chama ngazi ya Taifa. Wanachama wa NCCR-Mageuzi kutoka Kanda nyingine wanajisikiaje kusikia anavutia upande wa kaskazini?
Acha mihemko mfano kwako hamna maji ya kunywa na kwa Jirani hamna utaacha kuwatafutia watoto na mke uanze kutafuta maji ya majiranj kisa wewe ni balozi??
Asie hali vya nyumbani ni mpumbavu.