KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Kuna taarifa Kuwa CCM walimutumia JEMIS MBATIA ambaye aliandaa mtandao wa Wabunge wake kuhakikisha wanaunga mkono Kusomwa kwa Mswaada wa katiba kwa mara ya pili ili CHADEMA waonekane Wanafiki.
Taarifa zinasema mtandao huo wa CCM pamoja na kumwaga pesa nyingi lakini pia wamemuahidi Jemusi Mbatia kuwa watamlinda katika zoezi la kung'olewa nafasi ya Uenyekikiti Taifa!!
Taarifa zinaonyesha kuwa Mtandao huo ulimtumia Moses Machalo na baadaye kumupitia Bi Agripina Buyoya ambao wote kwa Pamoja wamefungishwa na Jemus Mbaitia ndoa ya mkeka na CCM mpaka mswaada huu upite!!
Taarifa zinasema mtandao huo wa CCM pamoja na kumwaga pesa nyingi lakini pia wamemuahidi Jemusi Mbatia kuwa watamlinda katika zoezi la kung'olewa nafasi ya Uenyekikiti Taifa!!
Taarifa zinaonyesha kuwa Mtandao huo ulimtumia Moses Machalo na baadaye kumupitia Bi Agripina Buyoya ambao wote kwa Pamoja wamefungishwa na Jemus Mbaitia ndoa ya mkeka na CCM mpaka mswaada huu upite!!