Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,560
- 1,085
😂😂 mama kwenda USA kawaziba kabisa ufahamu. Hata sisi tunao ndg huko na hawatusimlii hadithi hizo, anajua hata bei ya sabuni huko? Ye si anazikuta zote zishalipiwa hadi mafuta yako full tanks wakimwambia tumejaza kwa dola kadhaa anajibu oooh yeah piraah.Ungejua maisha yalivyopanda nchi kama USA ya dunia ya kwanza kabisa, usingekuja na rundo la malalamiko.