Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
Na Princess Asia, Dar es Salaam
KIPA wa zamani wa klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, James Kisaka amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Burhan, Dar es Salaam.
Mdogo wa marehemu, Benny Kisaka ameiambia BIN ZUBEIRY asubuhi hii kwamba, James Kisaka amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu.
Pumzika kwa amani James Kisaka, utakumbukwa daima
KIPA wa zamani wa klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, James Kisaka amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Burhan, Dar es Salaam.
Mdogo wa marehemu, Benny Kisaka ameiambia BIN ZUBEIRY asubuhi hii kwamba, James Kisaka amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu.
Pumzika kwa amani James Kisaka, utakumbukwa daima