Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,384
- 17,960
James Bond kwa takriban miaka 50 (1962 - 2011) ametoa sinema 23 ambazo ni wastani wa sinema 2 kwa mwaka kwa kuanza na Dr No ya 1962 hadi Quantum of Solace ya 2009. Katika kipindi hicho kuna madirector tofauti na Ma star tofauti ambao wamehusika katika hizo films.
Hawa watu ni matajiri wa dunia kwa hizo films chache walizocheza na familia zao zinaishi vizuri tu kwa movie hizo chache. Hapa Tanzania kila ukisoma kurasa za burudani za magazeti utaona matangazo ya wasanii wetu wakitangaza film mpya kila mwezi. Kwa harakaharaka wasanii kama akina JB, Kanumba, Ray au Richie wanapaswa kuwa ni mabilionaire kupita hata kiwango cha akina Sean Connery au akina Leonardo Di Caprio. Kinyume chake watu hawa wanaonekana bado wachovu ingawa wana kiasi cha kubadili mboga na kununua jeans na cream. Je wadau tatizo liko wapi?
Hawa watu ni matajiri wa dunia kwa hizo films chache walizocheza na familia zao zinaishi vizuri tu kwa movie hizo chache. Hapa Tanzania kila ukisoma kurasa za burudani za magazeti utaona matangazo ya wasanii wetu wakitangaza film mpya kila mwezi. Kwa harakaharaka wasanii kama akina JB, Kanumba, Ray au Richie wanapaswa kuwa ni mabilionaire kupita hata kiwango cha akina Sean Connery au akina Leonardo Di Caprio. Kinyume chake watu hawa wanaonekana bado wachovu ingawa wana kiasi cha kubadili mboga na kununua jeans na cream. Je wadau tatizo liko wapi?