Jambo TBC1. swala la kuchinja

Jambo TBC1. swala la kuchinja

Mupirocin

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,763
Reaction score
819
TBC kwa kweli huyu jamaa Raymond kiongozi wa dini za asili analizungumzia vema sana hiili swala, anasema haya yote yamelelewa na serikali kwa kuruhusu mihadhara ambayo ndiyo imewajenga na kujenga ujasiri coz serikali haikuwakemea. Na kama utaratibu wa kuchinja ulikuwa au haukutiliwa maanani, sasa wakristo wamashajua kuwa ni ibada sasa hawawezi kuendelea kuabudu ibada ya kiislam, sasa serikali ipitie upya na kufanya maamuzi mapya ili kujenga amani. Ameshauri kuundwe baraza ya usuluhishi wa maswala ya kidini kuanzia kijiji hadi taifa.
Amesema kipo kifungu kwenye quran ambacho kinamruhusu mwislam kula nyama aliyochinja mkristo, ambapo wao wanasema labda awe padre, amesema mengi. Kwa ufupi nampongeza sana amejitahidi sana kujenga hoja.
 
TBC kwa kweli huyu jamaa Raymond kiongozi wa dini za asili analizungumzia vema sana hiili swala, anasema haya yote yamelelewa na serikali kwa kuruhusu mihadhara ambayo ndiyo imewajenga na kujenga ujasiri coz serikali haikuwakemea. Na kama utaratibu wa kuchinja ulikuwa au haukutiliwa maanani, sasa wakristo wamashajua kuwa ni ibada sasa hawawezi kuendelea kuabudu ibada ya kiislam, sasa serikali ipitie upya na kufanya maamuzi mapya ili kujenga amani. Ameshauri kuundwe baraza ya usuluhishi wa maswala ya kidini kuanzia kijiji hadi taifa.
Amesema kipo kifungu kwenye quran ambacho kinamruhusu mwislam kula nyama aliyochinja mkristo, ambapo wao wanasema labda awe padre, amesema mengi. Kwa ufupi nampongeza sana amejitahidi sana kujenga hoja.


Inawezekana TBC hawakujua jamaa angekunjuka kiivo. Wao walitegemea asingepingana na waziri mkuu na huenda walimfanyia interview kabla na wakaona anamrengo sawa na viongozi wa ccm, na jamaa amewaguka. Wanajuta kumfahamu sasa.
Huenda msimamizi wa kipindi akawa matatizoni.
 
kila mtu achinje vyake, kwani wakristu nguruwe mnavompiga na mirungu afu mnakula kuna ubaya?
tuki toka hapo ni marufuku kwenye sherehe kujitia mtu yeyote kuombea chakula, kila mtu aombee chake tena kimya kimya
ni marufuku kwenye public office kuweka nyimbo za dini fulani kila mtu hataki kusikia la mwenziwe...
hotelini waandae vyakula vya aina mbili, vilivyo chinjwa kwa imani tofauti, halkadhalika maharusini na misibani mambo yawe ivo ivo.....ugumu mbona haupo.....na wale wanao shabikia udini tunawakumbusha hata nchi zenye machafuko ya kidini walianza hivi hivi kwa hiyo tuendeleee mwisho wake upo, ni nchi kubaki jivu na magofu
 
Kwa hakika kila mwenye akili salama anatambua kwamba hii ni nchi ya kuvumiliana kwa kuwa tunaamua sasa kuwa kila dini kivyake,tuanzie kwenye kuchinja twende kwenye mahoteli,hosptali,halafu tugawane na siku ya kupumzika kisha tuhamie kugawana na madaraka ya uongozi wa nchi yetu tukufu,na kila kinachowezekana kugawika tugawane na serikali itoe ruzuku kwa dini zote hii ndio njia pekee ya kuleta amani nchini mwetu
 
Nawashauri wana JF na wa TZ kwa ujumla, badala ya kupoteza muda kujadili matokeo ya kidini mfano "kuchinja, kuuwawa na kutiwandani viongozi wa dini, kuchomwa nyumba za ibada, maandamano ya kidini n.k" hebu tutumie muda wetu kutafuta mzizi wa chokochoko hizi halafu tuukate. TUNAKOELEKEA NI KUBAYA WA TZ
 
TBC kwa kweli huyu jamaa Raymond kiongozi wa dini za asili analizungumzia vema sana hiili swala, anasema haya yote yamelelewa na serikali kwa kuruhusu mihadhara ambayo ndiyo imewajenga na kujenga ujasiri coz serikali haikuwakemea. Na kama utaratibu wa kuchinja ulikuwa au haukutiliwa maanani, sasa wakristo wamashajua kuwa ni ibada sasa hawawezi kuendelea kuabudu ibada ya kiislam, sasa serikali ipitie upya na kufanya maamuzi mapya ili kujenga amani. Ameshauri kuundwe baraza ya usuluhishi wa maswala ya kidini kuanzia kijiji hadi taifa.
Amesema kipo kifungu kwenye quran ambacho kinamruhusu mwislam kula nyama aliyochinja mkristo, ambapo wao wanasema labda awe padre, amesema mengi. Kwa ufupi nampongeza sana amejitahidi sana kujenga hoja.
Hakuna kifungu kama hicho kwenye qur'an maana qur'an imesema wazi kuwa muislam anapaswa kula nyama iliyochinjwa kwa jina la ALLAH:shut-mouth:
 
Tumesha waelezea sana kuhusu hili, mnatusumbua . Mihadhara itaendelea, pombe ni haramu, nguruwe ni haramu na ushoga ni haramu. Hamna haki ya kuchinja maana nyie sio dini ya Mungu.
 
Tumesha waelezea sana kuhusu hili, mnatusumbua . Mihadhara itaendelea, pombe ni haramu, nguruwe ni haramu na ushoga ni haramu. Hamna haki ya kuchinja maana nyie sio dini ya Mungu.

kuua watu je?jihad? Kujitoa mhanga?shame on yu!
 
Nawashauri wana JF na wa TZ kwa ujumla, badala ya kupoteza muda kujadili matokeo ya kidini mfano "kuchinja, kuuwawa na kutiwandani viongozi wa dini, kuchomwa nyumba za ibada, maandamano ya kidini n.k" hebu tutumie muda wetu kutafuta mzizi wa chokochoko hizi halafu tuukate. TUNAKOELEKEA NI KUBAYA WA TZ

ila kipo cha kuita mashetani,kumtumia m2 mashetan?hahahahaha i like t!
 
Tujaribu kuangalia kwa mifano nchi gani zina machafuka zaidi ya umwagaji damu zile zenye idadi kubwa ya wakristu au zenye idadi kubwa ya waislamu. Ukishajua huna haja ya kujua dini ipi ni ya Mungu. Pamoja na makomplikesheni yote humpendeza binadamu na si Mungu
 
tumesha waelezea sana kuhusu hili, mnatusumbua . Mihadhara itaendelea, pombe ni haramu, nguruwe ni haramu na ushoga ni haramu. Hamna haki ya kuchinja maana nyie sio dini ya mungu.

kuua watu je?jihad? Kujitoa mhanga?shame on yu!

kwanini tuna ua watu, soma historia vizuri. Shame on men or gays?
 
. Hamna haki ya kuchinja maana nyie sio dini ya Mungu.

Unayemsema ni Mungu yupi? Yule wa shari na mauaji ambaye huwalazimisha watu kumfuata na kumwabudu kwa ncha ya upanga? au Mungu wa amani anayewapenda watu na kuwapa uhuru wa kuchagua kumwabudu kama itikio la upendo wa mioyo yao kwake?? Maana hizi dini zinaonyesha kuwa zinaanbudu Mungu tofauti!!!
 
Hakuna kifungu kama hicho kwenye qur'an maana qur'an imesema wazi kuwa muislam anapaswa kula nyama iliyochinjwa kwa jina la ALLAH:shut-mouth:

ila kipo kifungu cha KuWAITA MASHETANI,KUWATUMIA MASHETANI..hahahaha nyie noma..hicho ndo kitabu kitakatifu?
 
kwanini tuna ua watu, soma historia vizuri. Shame on men or gays?

historia ya kuuwa watu wasio na hatia?we kweli hujielewi..MUNGU YUPI ANASEMA CHINJA ADUI YAKO?
 
kwanini tuna ua watu, soma historia vizuri. Shame on men or gays?

historia ya kuuwa watu wasio na hatia?we kweli hujielewi..MUNGU YUPI ANASEMA CHINJA ADUI YAKO?asiye fundisha Upendo?
 
Inawezekana TBC hawakujua jamaa angekunjuka kiivo. Wao walitegemea asingepingana na waziri mkuu na huenda walimfanyia interview kabla na wakaona anamrengo sawa na viongozi wa ccm, na jamaa amewaguka. Wanajuta kumfahamu sasa.
Huenda msimamizi wa kipindi akawa matatizoni.

inawezekana kweli maana ile tbccm mambo yake kwa sasa siyo kabisa
 
Hakuna kifungu kama hicho kwenye qur'an maana qur'an imesema wazi kuwa muislam anapaswa kula nyama iliyochinjwa kwa jina la ALLAH:shut-mouth:
Inaonyesha puran huijui. Jaribu kufuatilia kwenye gazeti la Tz daima kila jumamosi yaani la jana na matatu kurudi nyuma Mc Mkongwe ametoa ufafanuzi.
 
unayemsema ni mungu yupi? Yule wa shari na mauaji ambaye huwalazimisha watu kumfuata na kumwabudu kwa ncha ya upanga? Au mungu wa amani anayewapenda watu na kuwapa uhuru wa kuchagua kumwabudu kama itikio la upendo wa mioyo yao kwake?? Maana hizi dini zinaonyesha kuwa zinaanbudu mungu tofauti!!!

historia ya kuuwa watu wasio na hatia?we kweli hujielewi..mungu yupi anasema chinja adui yako?

historia ya kuuwa watu wasio na hatia?we kweli hujielewi..mungu yupi anasema chinja adui yako?asiye fundisha upendo?

mungu wetu ameumba ulimwengu na vilivyomo. Hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana mshirika. Amekataza kunywa pombe, uzinifu, kula nguruwe na ushoga. Vile vile Kuwadhulumu watu, kuwapendelea watu kwa gharama za wengine (kila mtu apewe haki yake e.g, NECTA), Ambae ameturuhusu kupambana na wanao tudhulumu ambao ni jamii ya mashetani kwa wanayo yafanya.

 
Tupendane bila kuangalia

  1. Kipato/Tabaka
  2. Jinsi/Jinsia
  3. Umri
  4. Udini
  5. Ukanda
  6. Ukabila
  7. Rangi
  8. Uraia
  9. Itikadi
  10. ……
 
Back
Top Bottom