Jambo TBC1. swala la kuchinja

Jambo TBC1. swala la kuchinja

Hakuna kifungu kama hicho kwenye qur'an maana qur'an imesema wazi kuwa muislam anapaswa kula nyama iliyochinjwa kwa jina la ALLAH:shut-mouth:

kwahiyo ukitaka kuchinja unasema Allah thats all basi mtu yeyote achinje ila muelewe sehemu nyingi wanachinja kwa mashine sasa hizo mashine ziwekewe kiredio ziwe zinaimba Allah then mashine inachinja no Ugomvi au sio...

Nijuavyo Allah si Mungu kama yeye alivyowaambia
 
Ndiyo maana mungu wenu anaruhusu kuchinjana kama wenzenu wa Somalia na waislam wengine maana ni sehemu ya ibada yenu shame on you

Uislamu haujatufundisha Kumchinja mtu Popote, wala Hauja ruhusu Mauaji ya Holela, wala Kumuua mtu bila ya hatia bila kuhukumiwa na Sharia. Kulingana na kosa alilofanya. Mfano , ukiiuwa, unauliwa. Usaliti katika vita, unauwawa. Ukilawiti au Kuridhia kulawitiwa, unauliwa, ukibaka unaweza kuuliwa, Mzinifu mwanamume na mwanamke alie oa au kuolewa anaweza kuuliwa etc.

Hawa watu wanaochinjwa nikwa sababu ya hasira ya wenzao ambao, kwa usaliti waliofanyiwa hasa katika nchi za vita ambazo watu wengi wameuwawa kutoka na usaliti wao. Hivyo hasira kali zao hukosa adhabu ndogo ya kuwapa zaidi ya kisu. Lakini hiyo ni nje ya dini.

kwa sababu yule mtu mmoja anaechinjwa, ni hasira kwa wamerekani au wafaransa au majeshi ya afrika kuua watu wengi kwa mabomu. Kwa hiyo kuua ni kuua tu, hata kwa mabomu ni mauji yale yale. Kule kuchinja ni kuwatisha zaidi kama ilivyo fanya iraq. Mbona sadamu walimnyonga. Does it make a difference.

Au Ukristu una ruhusu kuua watoto, wazee na wanawake kwa block buster bombs, mig 23, stinger, etc. Hao ni halali kuua kwa kua mauaji yao ni ya kusambaratisha kabisa hata maiti huioni. hiyo ni halali??
 
Kuna aina tatu za uchinjaji duniani:
Kuchinja kwa imani ya kiislamu
kuchija kwa imani ya kiyahudi
kuchinja kwa imani ya wahindu
Pia weka kwenye akili yako kuchinja kwa kutumia machine(nyenzo), "stunning" yaani kumuondoa myama fahamu, kisha kumchinja, hapa hakuna imani, ni mtu yeyote anatia kisu baada ya kumtoa mnyama fahamu.
Kwetu Tanzania, zoezi la uchinjaji limekuwa likifanyika kwa mazoea tu, kwamba wanachinja waislamu, hakuna sheria yeyote iliyoelekeza hili, ni ungwana tu wa watanzania. sasa vuguvugu linaloendelea sasa hivi, ni baada ya kuanza kwa vurugu za akina ponda,uhamsho, nk. enzi za mwalimu, watu
kama hawa wanaovuruga amani, walikuwa wanaondolewa kimya kimya bila kuvuryga amani ya nchi. kwa taarifa yenu wana jJF, hawa siyo waislamu, wanaichafua uislamu, ni kikundi cha watu waliovaa mwamvuli wa dini ya uislamu.
Ni maoni yangu wana JF. serikali inatakiwa kufanya kazi, naona wamejisahau. Act like a Army Unit! Kamata wavunja amani, nyonga kimya kimya wananchi waendelee na maisha yenye amani.
F.
 
kwanini tuna ua watu, soma historia vizuri. Shame on men or gays?

Mnaua watu ili muende mukafaidi wanawake 72 ambao ni mabikira alio waahidi Allah kama mtampigania na kumtafutia wafuasi kwa nguvu,kwani huwezi kumpromote kwa njia nyingine ukaeleweka hana MVUTO. Nguruwe HARAM,NGAMIA Haram...
 
mnaua watu ili muende mukafaidi wanawake 72 ambao ni mabikira alio waahidi allah kama mtampigania na kumtafutia wafuasi kwa nguvu,kwani huwezi kumpromote kwa njia nyingine ukaeleweka hana mvuto. Nguruwe haram,ngamia haram...

h1n1, kwa sababu ya avatar yako nimekusamee bure.
 
Yeye achinjaye ng'ombe ni
kama yeye amwuaye mtu; na
yeye atoaye dhabihu ya
mwana-kondoo ni kama yeye
avunjaye shingo ya mbwa; na
yeye atoaye matoleo ni kama
yeye atoaye damu ya
nguruwe; na yeye afukizaye
uvumba ni kama yeye
abarikiye sanamu; naam,
wamezichagua njia zao
wenyewe, na nafsi zao
zafurahia machukizo yao.
Isaya 66:3
 
Tumesha waelezea sana kuhusu hili, mnatusumbua . Mihadhara itaendelea, pombe ni haramu, nguruwe ni haramu na ushoga ni haramu. Hamna haki ya kuchinja maana nyie sio dini ya Mungu.
ahahahahaa! Hata mwendawazimu anaweza akanadi nimeshiba! Nimeshiba! Nimeshiba! Mkiangalia tumbo kweli limejaa na kweli kashiba! Loo, kumbe! katoka dampo kazoa mavi ya nguruwe kala kashiba!
 
Na huyo ala wenu ndio amekuja kipindi hiki na kuwaambia mchome makanisa na kuwaua mapadre na wachungaji
hivi uyo yesu amekuja mwaka huu na kuwaambia muweke machinjio yenu? maana ukristo umekuwa km katiba kila siku kuna mpya
 
ahahahahaa! Hata mwendawazimu anaweza akanadi nimeshiba! Nimeshiba! Nimeshiba! Mkiangalia tumbo kweli limejaa na kweli kashiba! Loo, kumbe! katoka dampo kazoa mavi ya nguruwe kala kashiba!

Vipi mbona kama umelewa?
 
Wewe unafikiria kwanini UAMSHO wanataka Zanzibar Yao, Watalioano, Waingereza, Wafaransa ndio wanaharibu watoto wao katika mahoteli yao ya kitalii. Wanataka kuzui vile vile kutembea mitaani na chupi eti wataliii. Madhara ya utalii ndio yanayo wakumba Zanzibar, Mombasa na kwengineko. Kwani isiwe LINDI, MTWARA , BAGAMOYO AU PEMBA?

...Samahani Mkuu nauliza tu... Kwani Wanawalazimisha, ama watoto wenu wanajipeleka wenyewe????? Kama wanawalazimisha si Sheria zipo???:A S 39:
 
...Samahani Mkuu nauliza tu... Kwani Wanawalazimisha, ama watoto wenu wanajipeleka wenyewe????? Kama wanawalazimisha si Sheria zipo???:A S 39:

Utamaduni ukiruhusiwa, pamoja na vishawishi vya pesa, huigwa. Ndio maana wanataka Zanzibar yao, ili wadhibiti hilo.
 
Back
Top Bottom