Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
Kwa hakika kila mwenye akili salama anatambua kwamba hii ni nchi ya kuvumiliana kwa kuwa tunaamua sasa kuwa kila dini kivyake,tuanzie kwenye kuchinja twende kwenye mahoteli,hosptali,halafu tugawane na siku ya kupumzika kisha tuhamie kugawana na madaraka ya uongozi wa nchi yetu tukufu,na kila kinachowezekana kugawika tugawane na serikali itoe ruzuku kwa dini zote hii ndio njia pekee ya kuleta amani nchini mwetu
sidhani kama kugawa hivyo itasaidia zaidi zaidi ndo itafanya mambo kuwa makubwa kwa kila upande kuamini upande mmoja unapendelewa, naamini tungeendelea na hali tuliyokuwa nayo awali ingependeza zaidi