Upande gani? Hivi wewe hatakama elimu yako ni ya NDALICHAKO, basi hata kusikia husikii. Sikatai kua wapo watu wenye majina ya kiislamu wenye kufanya Uhalifu waaina nyingi tu, ikiwemo Uchangudoa, Ujambazi, Ushoga nk. Lakini hao wanafanya hivyo kama sehemu ya jamii, sio kwa mujibu wa dini yao. LAKINI JE HILI LA KUPITISHA SHERIA BUNGENI KUHALALISHA USHOGA, NA KUUPITISHA KUWAKUBALI MAKANISANI, BADO NI WAISLAMU NDIO WANAO HUSIKA?.
WAKE UP MAN. FUNGUA MACHO NA MASIKIO YAKO. USIBU
Ha ha ha ha kumbe wamepitisha bungeni? mi nilidhani utatoa ushahidi kwamba msahafu wao umeruhusu? kama ni bungeni basi ni sehemu ya jamii tu kama hao mashoga walio wengi ambao ni wa upande wako.na kwa nini hawa mashoga wapo sana mikoa ambayo nyie mpo wengi? na wote ni wa upande huo huo wa kwako.usiniulize upande gani kwani unajifahamu kabisa kwamba uko upande upi