kaka Maane, huyo mfanyakazi anapagiwa na nyumba ya kuishi yeye na mtoto au?..na kama ni hivyo n bora uporoto amshauri huyo hawara yake hilo jambo na wakaishi pa1 zambia.
Sijakuita kwenda PM Kaizer nimekuita kuonyesha msisitizo...by the way kichwani nilikuwa nawaza hivi wewe ni mume wa mtu na baba? Je vile unamfahamu mkeo, kama yupo, unaonaje hili kwake? Na please usimfikirie vile wewe ungependa alichukue hili swala bali vile moyo wake ungelibeba! Duniani kuna majaribu! Na hili Mrs Uporoto limemkumba! I am so sad!
unaweza kuanzisha lyfe lako upya kumlea mwanao, kwangu nakuruhusu....huku kwangu uwe unaleta huduma za wanao tu....na ni ruhusa wanangu kumnjua ndugu yao, wakae pa1 wakishirikiana pa1, lakini mama hucka amlee mtoto wake kwasasa....narudia tena hata mie mama yake na binti yangu angekuwepo angemtunza mwanae mwenyewe jamani, ni jukumu lake, kulea mchezo nini, mie binti yangu kaanza kuota vinyoyo, inabidi nibanane na e sana kumwangalia kwa karibu mana likitkea tatizo lawama zote kwangu, (nitaambiwa coz sio wangu wa kumzaa) lakini angelelewa na mamake likatokea tatizo itaonekana ni utundu wa mtoto tu.....tunalea jamani tunayaona.
kama hajatoa sababu za maana ni kuwa hana sababu ........HAMTAKI tu mtoto. sasa tumlazimishe mtu kulea mtoto japo hataki wakati baba yake yupo hai?
Huyo mtoto ni wa Uporoto bila ubishi maana ni damu yake labda akapime DNA kujiridhisha.
Alafu huyu mke wa Uporoto kama kweli anampenda Uporoto hana budi kupenda na ua lake lasivyo mwanamke afungashe vilago amwache mtoto aje ale bata na Uporoto.
naweza sema ni mama wa kipekee ambae hamtaki mtoto wake wa kumzaa? na kama ni hivyo alienda kuomba mbegu za nini? bado nipo pale pale kama mama hataki bac baba ajue cha kufanya juu ya mtoto lakini wacnihisishe mie, aje nyumbani kuwaona wadogo zake poa, washirikiane hiki na kile cna neno, neno kwangu kila azaae abebe jukumu la kulea/kutunza.
nyamayao nakuelewa ................ulezi hakuna mwepesi lakini kama ameombwa favor nyengine na amekubali, na alee tu na huyo mtoto
mie nampigania tu kuwa awe na sheria upande wake............asikubali kulea hivi hivi
utashangaa ukisia mama mtoto akiambiwa kuwa mtoto awe adopted akasema safari ya zambia imekufa na atalea mwenyewe
Mkuu Nyamayao, ni vema mtoto aishi hapo hapo nyumbani ili azoee pia ndugu zake. Huyo mama ambaye anajidai kuwa hataki mtoto huyu kisa ni mgonjwa si mama huyo, anajuaje kama siku moja mtoto wake hatapata ugonjwa tena apooze na ammalize kabisa muda wake?? Acheni kuongea tu maana hasira ya Mungu ni mbaya!! Imagine ghafla mtoto wake degedege hilo au gonjwa lingine, na anapooza au kuwa taahira, je atampeleka kwa bibi au?
Pili, uporoto1 hapaswi kwenda Zambia maana tayari ameoa/ana ndoa na huyu mama ambaye anakwepa majukumu ya mtoto wa kufikia (sitaki kumuita haramu). Kwenda Zambia maana yake ni awe na talaka au? Kitu ambacho not in my favour!
:violin:do lo mi da so fi la ................halafu Liz..njoo PM basi...naona kama umeniita apo:behindsofa:
kuna wengi tu...wanatoa mimba, wanazaa wanawatupa majalalani, sembuse huyu?
na huduma ile muhimu yakula kidude nayo nitaipost au?:confused2::confused2:
jamani plz tucmuwekee huyu mama maneno mdomoni, yeye hajasema hayo kabisa, cjaona mahali kasema hayo, yeye anataka mwanamke mwenzie alee totto wake wmenyewe na akajitolea na kumtafutia kazi karibu ili asiende huko zambia huyo hawara ndio katia kichwa ngumu jamani....kwanini mnamlazimisha huyu mama amlee huyo mtoto wakati mtoto ana maam yake na ni jukumu la mama yake?
Nimemweleza wife kila kitu kasema hana tatizo la mimi na yeye kumsaidia kifedha lakini swala la kubwagiwa mtoto mgonjwa hataki kulisikia na maelewano si yalikuwa tusijuwane tena?Tusaidiane mawazo wakuu.
:violin:do lo mi da so fi la ................
nyamayao ..........pengine alishinikizwa kuomba mbegu.
wanawake wengine wana vichwa maji ati
huyu ni tofauti na hao, huyu alikuwa na shida na mtoto, alomba mwenyewe mbegu jamani huyu....bac na abebe jukumu lake.
nope....yalikuwa ni makubaliano! na hata angeshinikizwa kwangu bado angetakiwa wabebeshane majukumu hao wawili walioshinikizana.....
:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee: