Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Wana Mmu tujadili hili.
Hivi kwa nini wakaka wakiwa na mademu wengi anasifiwa ni lijali na mdada akiwa na madanga I mean mabwana wengi anaitwa malay.??
Wakati jambo linalofanyika ni lile lile MAPENZI.
!!!!!!!!!
Wewe unasemaje katika hili wana MMU
cc: Nokia83 GENTAMYCINE MankaM Husninyo Excel MUSSOLIN
Hivi kwa nini wakaka wakiwa na mademu wengi anasifiwa ni lijali na mdada akiwa na madanga I mean mabwana wengi anaitwa malay.??
Wakati jambo linalofanyika ni lile lile MAPENZI.
!!!!!!!!!
Wewe unasemaje katika hili wana MMU
cc: Nokia83 GENTAMYCINE MankaM Husninyo Excel MUSSOLIN
Last edited by a moderator: