JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,626
Wana mtwara wamechochewa na wanasiasa, sio akili yao ile
Wewe unakaa Mtwara? mimi nipo mtwara na nimefuatilia sana hoja zao,wamakonde hoja wanayo tena wamedhamiria hasa. ukienda maeneo ya soko kuu na vijiwe maarufu kuwasikiliza ndio utagundua ni watu wenye kumbukumbu ya wanakotoka, walipo na wanako kwenda.wanazo hoja za maana sana na ndio maana hawapendi wavurugwe na wanasiasa kati suala hili la gesi.