Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Gazeti la jambo leo limeandika "Mtwara wakubali gesi itoke" wanasema ni baada ya jeshi la wananchi wa Tanzania kwenda kurejesha amani, salamu ya wana mtwara imebadilika kutoka "Gesi haitoki" hadii kuwa "Gesi inatoka".
CC THE BIG SHOW
CC THE BIG SHOW
Last edited by a moderator: