Gazeti la jambo leo la tarehe 8 Juni 2012 limeandika "LOWASA ACHANGISHA BILIONI 421".
Ukifungua ukurasa unaofuata kwenye content utakuta wameandika hivyohivyo bilioni 421.
Lakini baadaye nimepitia magazeti mengine yote yanasema ni MILIONI 421. Kwa mantiki hii ninawasiwasi na elim ya mhariri wa gazeti hili.
Kweli wamepotosha jamii. Kama chombo cha habari kinapotosha jamii sasa tutamwamini nani ktk kupata habari sahihi? Tutafakari.
Ukifungua ukurasa unaofuata kwenye content utakuta wameandika hivyohivyo bilioni 421.
Lakini baadaye nimepitia magazeti mengine yote yanasema ni MILIONI 421. Kwa mantiki hii ninawasiwasi na elim ya mhariri wa gazeti hili.
Kweli wamepotosha jamii. Kama chombo cha habari kinapotosha jamii sasa tutamwamini nani ktk kupata habari sahihi? Tutafakari.