Jesusfreak08
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 823
- 1,797
Kilimo kinafaida kama sheria zake zikizingatiwa kuna mambo usipo yazingatia kwenye kilimo basi nakuhakikishia utaambulia maumivu au hasara kitu kama ufuatiliaji kama hauna ufuatiliaji mzuri wewe binafsi au mtu anaye simamia basi hasara ni uhakika
—Kilimo kinafaida kikizingatiwa
—Kilimo kinafaida kikizingatiwa