Kuendelea kulalamika you will remain stuck , Maarifa tayari yapo its up to you to be knowledge seeker to dig knowledge there's a lot of books that u can use to upgrade ur understanding on financial ,spiritually, engineer and etc.Jambo hili fikilishi.View attachment 2834109
Nakuona Kiranga Jr jokes 😆Ngoja nitupe jiwe gizani,
Mungu hayupo, dini ni utapeli.
Inaumiza sana,lakini ukitulia ukiomba unafeel uwepo wa Mwenyezi Mungu na mwanaye Mpendwa Yesu Kristo.Uchawi,uganga kama vipo kweli basi aliyehai anatembea nasi sikuzote.Jina lake libarikiwe.🙏
Anadai hajui Kiingereza lakini kumbe hata Kiswahili ni shida kwake.Fikilishi ndio nini??
Safi kabisa!Wamekupa maarifa na bado wakutafsirie, pumbav kabisa mwafrika kama wewe..
Waliotafsiri bible kwend kiswahili ni waswahili wenyewe.
Miafrika sijui tukoje, lawama kwa kila kitu kuona eti mzungu kakudhurumu.
Ni mzungu alijifunza kiswahili, kwahiyo ndioKwani Biblia zilizoandikwa kwa lugha za Waafrika, zimeandaliwa na wazungu?
Jamii formulaSafi kabisa!
Na wana miaka mingapi tangu waondoke? Mwafrika umeshatafsiri cho chote katika lugha zako? Ajabu hata vitabu vya grammar katika lugha nyingi za Kiafrika ni vile vilivyoandikwa na wamishenari halafu unawalaumu?
Hebu kaa ujaribu kutafsiri Chands kwa Kiswahili au Kiha tuone! Hebu nitafsirie Archimedes Principle au Newton's laws of motion kwa Kisukuma.
Waafrika bana sijui tuna nini. Bado tuko masikini kwa sababu tulitawaliwa. Oh real? Siyo kwamba sababu kubwa ni huu ufisadi wa kihayawani na kutokuwa na viongozi wenye maono?
Hopulesi kabisa sisi!
Yakhe.Kuendelea kulalamika you will remain stuck , Maarifa tayari yapo its up to you to be knowledge seeker to dig knowledge there's a lot of books that u can use to upgrade ur understanding on financial ,spiritually, engineer and etc.
Blaming is shit