jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,102
Msajiri wa vyama alivitaka vyama vya siasa vihamishie ofisi kuu zao za chama Dodoma nashangaa CHADEMA wamepinga na kusema ni garama kubwa lakini mimi najiuliza CHADEMA ofisi ya makao makuu yao pale mtaa wa ufipa wamepanga jengo kwanii swala la wao kuhama iwe garama?
Si wasibiri kodi ikiisha wahamie Dodoma
Si wasibiri kodi ikiisha wahamie Dodoma
