Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
mwenye nyumba tuliyoshootiya aligoma kabisa kuingia na viatu dakika za mwishoni so hatukuwa na jinsi.jambazi kapendeza hivyo....jambazi gani mstaarabu anaenda kuiba anavuwa viatu kama anaingia msikitini.