Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
NNAOMBENI USHAURI WAKUU,nina ndugu yangu alioa kama mwaka ivi umepita, na kwa sasa wamebaatika kupata mtt mmoja,tatizo lililopo sasa ni kwamba yule shemeji yetu ni( postive) na alijua toka mwanzo ,nikisema mwanzo namaanisha ni kabla ya ndoa yao yani,ila mungu alivyo mkubwa broo ameenda kupima akakuta ni (negative) na amecheki zaidi ya mara mbili,alichokiamua yy ni kwamba hme kaama ila mtt anamuudumia na mtoto yupo salama,UAMUZI ALIOUCHUKUA WA KUAMA NYUMBANI NAI SAHIHI????au kama siyo sahihi afanyaje pia?nawasilisha kwa ushauri wenye kuleta tija.