Jamani wanawake badilikeni basi

Jamani wanawake badilikeni basi

Linyo

Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
83
Reaction score
12
Wana jamvi jamani tabia ya wanawake kugeuza wanaume benki hawajui maana ya mapenzi wao wanatanguliza pesa kila ukimpigia simu kumjulia hali yeye anaanza kuomba hela jamani sasa tutaogopa hata kuwapigia simu tena inakera sana naomba mbadilike kuwatongoza sio ishara ya kuwaambia muombe pesa tumieni huu mda kubadilika
#habari_mnayoo #
 
Haaa tatzo wengne waga hatuwaombi wanatoa wenyewe coz wanajua wajibu wao
 
Ukiona penzi linanoga kwa sababu ya mshiko ujue hapo wewe ni ATM na si mpenzi. Kutoa pesa iwe ni kwa kupenda tu na si kwa sababu utafutwe kupendwa!
 
mtuache tupumue huwa mnalazimishwa kutoa..... na mtachunwa mpaka mifupa mwaka huu huwez waachie wenye nazo huwa hawalalamiki.
 
Kama huna pesa paki pembeni ondoa jam
"mwenye kisu chenye makali ndo anaekula nyama"
hicho kisu chako butu kamenyee ndizi....
 
Ukiona penzi linanoga kwa sababu ya mshiko ujue hapo wewe ni ATM na si mpenzi. Kutoa pesa iwe ni kwa kupenda tu na si kwa sababu utafutwe kupendwa!

Huwezi kutenganisha mapenzi na pesa
katika siku ambazo nilifurahia uhusiano mie ni zile siku tunaenda club na mupenzi
meza inajaa kijani tupu hizo ni castle lite, tunalewa, tunacheza mziki saa kumi tunaenda kumalizia mengineyo
yani mapenzi rahaaaa utamuuu
bila pesa hizo raha tungekula?pesa inaongeza ladha kwenye mapenzi kama kitunguu kwenye mboga
 
Huwezi kutenganisha mapenzi na pesa
katika siku ambazo nilifurahia uhusiano mie ni zile siku tunaenda club na mupenzi
meza inajaa kijani tupu hizo ni castle lite, tunalewa, tunacheza mziki saa kumi tunaenda kumalizia mengineyo
yani mapenzi rahaaaa utamuuu
bila pesa hizo raha tungekula?pesa inaongeza ladha kwenye mapenzi kama kitunguu kwenye mboga

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa mapene inaongeza ladha lakini naamini kama upendo ni wa dhati hutoona shida pale inapotokea kuwa hana. Na ikitokea wewe kimeeleweka waweza mtoa vile vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom