2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
Mwanaume.
Nyie ndo nguzo za familia na kichwa cha familia .
Ila niko na machache nataka kuongea na nyie kama mihimili naona mnakosea.
Najiuliza imekuaje wanaume tunaowapenda kuwathamini tunatoa muda wetu kwenu Ila hamtaki kutuoa.
Yaani nikipika chakula kwako,nikakufulia nguo ukinipa mimba unataka sogeza tukae.
Wazazi wangu hauwajui wala ndugu yangu hata mmoja.Ila kuendelea kunizalisha na kuniongezea watoto unaona cha maana.
Unajiita mwanaume unatumia muda mwingi kunipiga mibao jamani,baada ya kula tunda adimu Mungu alilonijalia.
Yaani mwanaume unanipiga mimi mwanamke.
Jamani nimekaa nimejiuliza wanume mtuoe ,
Tunahitaji ndoa
Muache kutupiga.
Nyie ndo nguzo za familia na kichwa cha familia .
Ila niko na machache nataka kuongea na nyie kama mihimili naona mnakosea.
Najiuliza imekuaje wanaume tunaowapenda kuwathamini tunatoa muda wetu kwenu Ila hamtaki kutuoa.
Yaani nikipika chakula kwako,nikakufulia nguo ukinipa mimba unataka sogeza tukae.
Wazazi wangu hauwajui wala ndugu yangu hata mmoja.Ila kuendelea kunizalisha na kuniongezea watoto unaona cha maana.
Unajiita mwanaume unatumia muda mwingi kunipiga mibao jamani,baada ya kula tunda adimu Mungu alilonijalia.
Yaani mwanaume unanipiga mimi mwanamke.
Jamani nimekaa nimejiuliza wanume mtuoe ,
Tunahitaji ndoa
Muache kutupiga.