hamna kitu humo spot kibao,imekaa kama kitomoto yenye homa
Alafu dada mjanja. Naona kavaa pete ili wateja wajue kaolewa. Maana nasikia sikuizi watu wanapenda zaidi wake za watu![/QUOTE
Umeona eeh... Ha ha ha...! Very strategically...!
Du! Ana mustachi!!!
Miili yenyewe - mapaja na miguu kama maganda ya malimao!