Huu ndio uvaaji gani?

Huu ndio uvaaji gani?

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
1,455
Reaction score
3,213
Screenshot_20260604_190115_TikTok.jpg
Screenshot_20260604_190043_TikTok.jpg
Screenshot_20260604_185937_TikTok.jpg
Screenshot_20260604_185854_TikTok.jpg
Screenshot_20260604_185827_TikTok.jpg
 
Matajiri wa Osterbay wanaTanzania yao..

Imagine . Kuwa Kila siku ya jmos kuanzia saa 12 asubuh had saa 4 asubuh. Njia ile kuanzia Agha khan hosp kupigia daraja la tanzanite, uje barabara ya coco hadi karibia na police officers mess.
Inafungwa kwa ajili ya wakimbiaji na wanaofanya mazoezi.

Hakuna boda. Bajaji wala gar inahoruhusiwa kupita.

Ndio maana unaona barabara nyeupe.
Narudia. Ni Kila jmosi . Muda huo.

Seran siku moja jumuika huku.
 
Back
Top Bottom