Jamani Uncle Magu ndo tumefikia Huku...?????

Jamani Uncle Magu ndo tumefikia Huku...?????

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
1479829726882.jpg
 
Ndiyo matatizo ya kuokoteza okoteza watu bila kufanya utafiti wa kina. Huyu ni okotezo la Mkapa na Kikwete ambao waliangalia maslahi yao tu badala ya nchi. Wangejali maslahi ya nchi kamwe wasingetuletea huyu jamaa maana madudu aliyoyafanya ujenzi yalitosha kuonyesha kwamba jamaa uwezo wa kuongoza nchi ni ZERO.

Magufuli kapwaya kwenye hii nafasi. Thatz the fact!..... Hali ni mbaya huku kitaa
 
Back
Top Bottom