papaa masikini
Senior Member
- Mar 5, 2011
- 176
- 69
Democracy ichukue mkondo wake jamani,hao wazee wa gamba wanatakiwa wajue kua zama hizi wasomi rushwa haina nafasi,watu wanajiamini ndio maana hawataki huo mchezo wenu mchafu wa kutoa rushwa kwenye kila jambo.ni hayo tu ,kila laheri udom wote.