Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!