Hiyo jezi ni kama inajieleza vile! Au macho yangu?
teh teh, hahahahaaa, kwakwakwaaa! Huuwi mbavu hukujua kua utakua hivyo? Teh, teh, wazee wa kijani mna visa nyie!Acha porojo wewe!
kazi ya CCM...
---- hili linadhalilisha jezi yetu..
Hahahahahahahahahah......