you great thinkers, sasa kazi huwa mnafanya saa ngapi? ...ina maana katika vitu vyote vilivyoumbwa na Mungu mnaona wanawake tu!? Kweli Waafrica tuna kitu cha ziada katika kuumbwa
you great thinkers, sasa kazi huwa mnafanya saa ngapi? ...ina maana katika vitu vyote vilivyoumbwa na Mungu mnaona wanawake tu!? Kweli Waafrica tuna kitu cha ziada katika kuumbwa
Huku tunafukuzana mtoni kwenye mchanga, na hiki kiangazi balaa tupu. Mnalala kwenye mchanga lakini khanga moja mhimu, na miwa mirefu. Basi maisha yanasonga mbele, hatujui mgao wa umeme wala foleni za magari. Rais wetu Nyerere akija ndo tunaona tingatinga linachonga barabara vinginevyo sahau, ni vumbi tu kwenda mbele.
Kuna jamaa yangu yeye anasema siku akiboreka anaenda posta pale anatafunta angle nzuuri anakaa hata 2hrs just kuona tu uumbaji wa mola, akitoka hapo swaaafi karidhika
Kuna jamaa yangu yeye anasema siku akiboreka anaenda posta pale anatafunta angle nzuuri anakaa hata 2hrs just kuona tu uumbaji wa mola, akitoka hapo swaaafi karidhika
Sasa nyinyi hukota posta huwa mnakwenda kutafuta wanawake au mnakuwaga na shughuli maalumu,maana mimi hainiingii akilini mtu kudindisha ovyo utafikiri ngo'mbe ambeye yupo teyari kufanya mapenzi sehemu yoyote!acheni uzushi kudindisha ni suala la kisaikologia haliwezi kutokea kiuraisi kama mnavyolielezea!!
Kuna jamaa yangu yeye anasema siku akiboreka anaenda posta pale anatafunta angle nzuuri anakaa hata 2hrs just kuona tu uumbaji wa mola, akitoka hapo swaaafi karidhika