commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,957
nimemtumia mwenyewe kwani wazee hawana uwezo huo ishu ilikuwa nipate kazi
kwa uwezo wa mungu ametuonyesha jinsi watu wengi wanachelewesha maendeleo nchini kwa kununua ajira na kuwaacha waliostahili wakisaga soli mitaani.