Mimi ni mkaazi wa DAR nipo katka kutafuta maisha tu hii leo nimetapeliwa kiasi cha 500,000 hivi kupitia nambar 0657346184 na 0754594923 anatambulika kama KESHEN NYAKUNGA hupatikana sana iringa na moro, jina lake la utapeli hutumia "afande nasoro"huyu mtu ana sare za jesh la polisi kuanzia buti mpaka kofia anacho kifanya ni kujenga urafiki na wazazi wako wakati we mwenyewe hujui ndivyo alivyo tumia kututapeli kwa kusema nimemtafutia mwanao nafasi ya jeshi mf,jwtz,magereza au polisi hivyo huchkua nakala za vyeti na kuanza mchakato wa utapeli bila wewe kujua. kutokana na umasikini wetu hapo pross za rushwa huanza kupitia kwa wazazi na mtoto. ikumbukwe anatumia sare za polisi alhali si polisi ktka kufanikisha malengo yake mimi yamenikuta kwani anaingia mpaka ofisi husika pindi anapo kamilisha mambo yake na kutumia vyeo bandia wakati wa kuwasiliana na namba zake ziho zinaita mpaka sasa na anaongea na mtu ambaye namba zake ni ngeni mimi namba zangu ni 0714515175 naombeni msaada wenu.
nimemtumia mwenyewe kwani wazee hawana uwezo huo ishu ilikuwa nipate kazi
Huyu mtu ni tapeli akipigiwa simu na mtu yeyote asiemfahamu hawezi kuja.ila cha kufanya tulia mwezi 1 kisha nunua line mpya alafu uandike msg hivi: Ile interview ya kupata kazi mwanangu kafeli,hapo atajua umekosea namba nae ataanza kukupa michongo hapohapo ndipo utamkamata.mimi naweza kukupa mbinu bora za kumkamata huyo tapeli mchanga ila ukinipa ramani ya maisha yake.
Huyu mtu ni tapeli akipigiwa simu na mtu yeyote asiemfahamu hawezi kuja.ila cha kufanya tulia mwezi 1 kisha nunua line mpya alafu uandike msg hivi: Ile interview ya kupata kazi mwanangu kafeli,hapo atajua umekosea namba nae ataanza kukupa michongo hapohapo ndipo utamkamata.mimi naweza kukupa mbinu bora za kumkamata huyo tapeli mchanga ila ukinipa ramani ya maisha yake.
kuibiwa hakuna ujanja ndugu zamu ikifika utaona. hata mi nlisema xana
Mimi ni mkaazi wa DAR nipo katka kutafuta maisha tu hii leo nimetapeliwa kiasi cha 500,000 hivi kupitia nambar 0657346184 na 0754594923 anatambulika kama KESHEN NYAKUNGA hupatikana sana iringa na moro, jina lake la utapeli hutumia "afande nasoro"huyu mtu ana sare za jesh la polisi kuanzia buti mpaka kofia anacho kifanya ni kujenga urafiki na wazazi wako wakati we mwenyewe hujui ndivyo alivyo tumia kututapeli kwa kusema nimemtafutia mwanao nafasi ya jeshi mf,jwtz,magereza au polisi hivyo huchkua nakala za vyeti na kuanza mchakato wa utapeli bila wewe kujua. kutokana na umasikini wetu hapo pross huanza kupitia kwa wazazi na mtoto. ikumbukwe anatumia sare za polisi alhali si polisi ktka kufanikisha malengo yake mimi yamenikuta kwani anaingia mpaka ofisi husika pindi anapo kamilisha mambo yake na kutumia vyeo bandia wakati wa kuwasiliana na namba zake ziho zinaita mpaka sasa na anaongea na mtu ambaye namba zake ni ngeni mimi namba zangu ni 0 naombeni