atrash
Member
- May 1, 2011
- 75
- 12
habari zenu wakuu mi nina tatizo la jinsi ya kufanya setting ktk hizi simu za nokia asha kwa ajili ya kupata internet
nimejaribu kufanya njia zote lakini nimechemka jamani majirani aliokuwa nayo nokia 306 naomba nisaidie jinsi ya kufanya setting ili nitumie internet
natanguliza shukran
nimejaribu kufanya njia zote lakini nimechemka jamani majirani aliokuwa nayo nokia 306 naomba nisaidie jinsi ya kufanya setting ili nitumie internet
natanguliza shukran