Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Mwajiri anataka wafanyakazi wafungue account NBC, hivi kwa nini vitu kama hivi vinakubalika kwenye hili li nchi letu? Kwa nini hakuna labor law inayokataza mwajiri kukuamulia mahala pa kufungua account?Muajiri wangu alitaka wafanyakazi wote tukafungue account NMB house pale azikiwe hili tuweze kuchukulia mishahara kwenye account zetu,