Jamani nini kilimpata Tulia kuachia uspika

Jamani nini kilimpata Tulia kuachia uspika

Tulia aliponzwa na dini yake
Samuya Ali force pale akae mapengo kutokana Yuko dini ya kiarabu
 
Najiuliza sana swali hili, maana alikuwa chawa grade 1 wa Samia! Alikuwa kichekesh linapokuja suala la uchawa!
"Aliteleza" wapi?
Shetani hana rafiki "evil person has no boundaries"🤣🤣🤣🤣
 
Najiuliza sana swali hili, maana alikuwa chawa grade 1 wa Samia! Alikuwa kichekesh linapokuja suala la uchawa!
"Aliteleza" wapi?
Nasikia huo huo uchawa kwa Sa100 ndo uliomponza.....
Walijua atazidisha kwa ku-mobilise wabunge kichawa zaidi kama alivyofanya wakati wa DP..
Huko katika Kijani yao hakuko sawa, kuna tug of war within...
 
There is no evil plan without a mistake.

Pia ni kawaida fisi kulana wao kwa wao.
 
Back
Top Bottom