Dhambi humtafuna aitendaye,malipo nayo hayachelei kuja,Mungu si mjomba mchumali.Najiuliza sana swali hili, maana alikuwa chawa grade 1 wa Samia! Alikuwa kichekesh linapokuja suala la uchawa!
"Aliteleza" wapi?
Sidhani!..Nadhani walitaka kuweka uwiano wa DINI ktk nafasi za juu.
..Rais Muislamu.
..Makamu Mkristo.
..Spika Muislamu.
..Waziri Mkuu Mkristo.
HUO NI UTARATIBU WA KAWAIDA KAMA AMBAVYO RK ATAKUWA RAIS 2030
Watz wamemlaani labdaNajiuliza sana swali hili, maana alikuwa chawa grade 1 wa Samia! Alikuwa kichekesh linapokuja suala la uchawa!
"Aliteleza" wapi?
Waliogopa spika kuwa na mimba?Labda ana ujauzito 😎
Waliogopa kitachozaliwa 😅Waliogopa spika kuwa na mimba?
Uchawa ule kumbe alikuwa na kibiri?Tatizo ni kibriii