tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
kwangu mie huyo mwanaume hafai atakusumbua sana........ mpenzi tu ajue mshahara wako na matumizi??? kuwa makini
kajinyonge basitoka mwanzo huna ulichoshauri,hivi kuna makubwa mangap yanaletwa sembuse langu,bora niombe ushauri huku kuliko niamue maamuzi ya ajabu.hata ukinidharau unipunguzii kitu najua mimi faida yake.
kaolewe na hiyo kaziSalaaam wanaJamiiForums hope wazima.
Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.
No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu
No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.
Nisaidien kimawazo.
una mawazo mgando kama akili yako ningekuwa mimi ni mumeo ungenikomaa ningeweza kuishi na uchafu kama wewe.Salaaam wanaJamiiForums hope wazima.
Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.
No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu
No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.
Nisaidien kimawazo.
kama ulikuwa na maamuzi binafsi huku umefuatwa nini huna msimamo wowote ni umbea tuu umekujaa kichwanikila anayeleta mada huku,ni hana msimamo binafsi?wew ndio hujitambui na huelewi mada yang imeuliza cha kufanya kwamba aje au tujipange kwanza,hamna sehem iliyouliza nimwache means hakipo kichwan kwang .so u too take care na ujitathmini vizuri una nin!!
hata nguo za ndani ukinunua unasemasoma bs uelew vizuri mada,issue sio kujua mshahara ila ni kutaka kujua matumizi yote yani hadi kununua hereni,nguo n.k
kama ulikuwa na maamuzi inafsi huku umefuatwa nini huna msimamo wowote ni umbea tuu umekujaa kichwani
Njoo pm mtoto mzuri! Njoo tuongee taratibu, haya mambo hayahitaji kupiga mayowe! Sawa binti mzuri, hembu njoo Achana na wakware wa hapa JF!