1stbravetai
Member
- Nov 28, 2014
- 15
- 9
Naona kina Yahaya humu wamepanic
Ha ha ha ha Hili nalo neno.......
Naona kina Yahaya humu wamepanic
Naona kina Yahaya humu wamepanic
Kwani nawe ni kati ya kina Yahaya walopanic bro?Hahahaaaaa mkipewa ukweli wa upande wa pili wa shilingi huwa mnafafuta vimaneno vya kashfa.
Ukiwa na akili ya Mange Kimambi lazima utakuwa mtazamo kama wako. Endeleeni kumchangia hizo dola 20 za kuwalipia fee ya hizo online dating website na nyie mpate wazungu maana ndio fantasy inayofanya muongeze traffic kwenye blog yake huku yeye anapiga hela
Kwani nawe ni kati ya kina Yahaya walopanic bro?
We kaka acha tu, bint akikosa msimamo kipindi cha kumtambulisha mwenzie, atapelekeshwa hadi ashangae. mara nyingi wababa hawana shida ila wamama wanapenda mali nyingi na harusi za kifahari ili wapewe sifa na mjirani, wakati mwingine binti mwenyewe ni full sheeeeda.
Hahahaaaaa mkipewa ukweli wa upande wa pili wa shilingi huwa mnafafuta vimaneno vya kashfa.
Ukiwa na akili ya Mange Kimambi lazima utakuwa mtazamo kama wako. Endeleeni kumchangia hizo dola 20 za kuwalipia fee ya hizo online dating website na nyie mpate wazungu maana ndio fantasy inayofanya muongeze traffic kwenye blog yake huku yeye anapiga hela
Kwani ni lazima niwe yahaya ili nitofautiane na mtazamo wako?
Tena wajiulize mbona Huyo Mange alishindwa kumpata mume bilionea Bongo, tena alikuwa anaishi Mbezi beach....sio kama anavyoshauri wenzake wakapange mikocheni..
Nawe umeingiaje??
Haya....
Kumbe Yote Haya Ni Kwasababu Hana Kazi. Tafuta Wenye Kazi.
Kwani kutofautiana mtazamo ni tatizo?
Nimeongelea waliopanic ukajipendekeza kudakia na maneno meeengi!!
Na bado nikakuuliza kama nawe ni kati ya waliopanic, unambwelambwela tu.
Na nikuambie labda, nina mume ndoa mpyaaa hata kero za muungano hazijaanza so huyo Mange hanihusu kwa lolote.
Acha kiherehere.
Ni suala dogo tu dia....mbona kitambo tu nimekudondokea....nilikuwa nakuvizia tu..........:violin::violin::dance::dance::drum::msela::msela😱k, my sweet lotion, my honey ya Tabora, mi bado nashangilia kuuhama usingle sio suala dogo atiiii! si ndio honey?
embu msibadilishe nilichokipost,nimesema sabab hana kaz mim unajiongelea tu,kama vip nyamaza hutaharibikiwa kitu.
Ni suala dogo tu dia....mbona kitambo tu nimekudondokea....nilikuwa nakuvizia tu..........
Tungeshauri Uachane Naye Ungefanya Hivyo Kwani Mpaka Umeleta Jukwaani Ni Kwamba Ww Huna Msimamo Binafsi Ndo Mana Umeleta Kwa Wadau Na Kwa Mantiki Hiyo Ingetokea Wote Tunakwambia Achana Naye Ungekubaliana Nasi.. Take Care
Hahahahaaaaaaaaa.......is beautiful feeling to feel love.................hahahahahaha! umenidondokea kwa kishindo hadi ni nimevunjika dia, thio vidhurii ivoooo!