Jamani nini cha kufanya maana sielewi

Jamani nini cha kufanya maana sielewi

Ni kwa vile hana kazi ya maana ndio maana hiyo namba moja imekuwa ishu kwako. Embu jiulize endapo angekuwa na kazi nzuri wewe usinge penda kujua mshahara wake na matumizi yake? Acha unyanyapaa

Naona umeng'ang'ania kuuliza kama ni sawa yeye kuomba kusaidiwa mahari na gharama za ndoa. Tatizo ni wewe na sisi yeye dada yangu, una expectations za kuolewa na Mume mwenye hela,hapo ndio tatizo lilipo. Aliye kwambia kuwa huwezi kufunga ndoa mpka uwe na mamilioni ni nani? Ndoa ni jukumu la jamii iliyo kuzunguka,Nyie Si mmechangia wenzenu wengi tu kwenye harusi Kwahiyo na nyie mta changiwa.halafi Kwani wazazi wako wana mpango wa kumtajia mahari ya Milioni ngapi? Hakuna anaye shindwa kuoa kwasababu ya kukosa posa. Acha kumnyanyasa aisee,maisha ni kupanda na kushuka dada yangu.

Mke mwema humpa Moyo na kumsaidia mwenzake kwa hali na mali. Hiyo ndio dhana na ya maisha ya ndoa na mapenzi,kuwa karibu na kumpa support mwenzako hasa wakati wa shida.

Mwisho niseme kwamba binafsi sioni ubaya wa kujua mshahara wa mwenzako. Kama mnaweka siri katika mahusiano then nini maana ya kuwa mwili mmoja? Kuna sababu gani ya msingi ya kuficha kipato chako? Huoni kuwa inaweza kuwa na faida kama akijua ili endapo utakuwa ni mtumiaji mbaya wa hela akukosoe? Au mwenzetu una kiserengeti boy una kihonga?

"Upendo uwe kwenye kweli na kweli kwenye Upendo"

Kama inatosha vile. .ila mbona wanaume tunaoaga wanawake wasiokuwa na kazi
 
Ni kwa vile hana kazi ya maana ndio maana hiyo namba moja imekuwa ishu kwako. Embu jiulize endapo angekuwa na kazi nzuri wewe usinge penda kujua mshahara wake na matumizi yake? Acha unyanyapaa

Naona umeng'ang'ania kuuliza kama ni sawa yeye kuomba kusaidiwa mahari na gharama za ndoa. Tatizo ni wewe na sisi yeye dada yangu, una expectations za kuolewa na Mume mwenye hela,hapo ndio tatizo lilipo. Aliye kwambia kuwa huwezi kufunga ndoa mpka uwe na mamilioni ni nani? Ndoa ni jukumu la jamii iliyo kuzunguka,Nyie Si mmechangia wenzenu wengi tu kwenye harusi Kwahiyo na nyie mta changiwa.halafi Kwani wazazi wako wana mpango wa kumtajia mahari ya Milioni ngapi? Hakuna anaye shindwa kuoa kwasababu ya kukosa posa. Acha kumnyanyasa aisee,maisha ni kupanda na kushuka dada yangu.

Mke mwema humpa Moyo na kumsaidia mwenzake kwa hali na mali. Hiyo ndio dhana na ya maisha ya ndoa na mapenzi,kuwa karibu na kumpa support mwenzako hasa wakati wa shida.

Mwisho niseme kwamba binafsi sioni ubaya wa kujua mshahara wa mwenzako. Kama mnaweka siri katika mahusiano then nini maana ya kuwa mwili mmoja? Kuna sababu gani ya msingi ya kuficha kipato chako? Huoni kuwa inaweza kuwa na faida kama akijua ili endapo utakuwa ni mtumiaji mbaya wa hela akukosoe? Au mwenzetu una kiserengeti boy una kihonga?

"Upendo uwe kwenye kweli na kweli kwenye Upendo"

unatumia kinywaji gan mkuu ntakulipia
 
Kwahiyo ishu ni wewe kutotaka kuulizwa namna unavyo tumia mshahara wako? Huenda anaona una matumizi mabaya hivyo ana kuhurumia huenda hutotimiza malengo uliyoweka.

Kuhusu kuchanga hela mfanye Biashara hilo ni wazo jema. Tena shukuru umepata mtu ambaye ana mawazo hayo maana kuna wanawake wenzako bf zao wanawaza kuuza sura samakisamaki tu. Cha msingi kama unaona huwezi kutoa huo mchango ongea naye na umueleze sababu za kushindwa kwako,Jaribu kumuonyesha uzito wa Malengo yako uliyo jiwekea pengine haoni kuwa malengo yana faida. Wakati huohuo msaidiane kupata alternative ya kupata mtaji wa biashara.

Kuhusu ndoa mimi sioni complication sababu mahari huwa hela kidogo na Si lazima mfanye sherehe kuuubwa otherwise kaa naye chini mpe moyo na mwambie mvute subira akipata kazi au mkiweza kuwa na biashara iliyosimama kidogo ndio ndoa ifungwe ili ajisikie kuwa mpo pamoja

Mkuu unatema madini tu leo agiza nikulipie
 
kapata kazi juzi,means mwaka na nusu niko nae hana kazi na maisha yamesonga had hapa tulipo.so dont judge.

kama hiyo ndio fact..usingekuja kumtundika humu jamvini watu wamjadili... oaneni na mtaishi kama vile mwanzo (huo mwaka na nusu) kipindi hana kazi....
i still insist utakuja kumsumbua sana jamaa wewe..
 
Mim naona suala la mwezio kutokuwa na kazi sio tatizo kama anaonyesha jitihada za kufanya biashara, wew mpe moyo wakati akihangaika kutafuta kazi asikae tu ajishughulishe na biashara.

Suala la mahali, wew ni binadam sio bidhaa kwamba unazwa ivo lazima uwaeleze wazazi wako ukwel kuhusu hali ya kifedha ya mwenzio, sasa kama na wew utataka sifa ya kutolewa mali nyingi basi hapo bwana kaka imekula kwake, la msingi wew ndio unajua hali ya mtu uliyemchagua.

pia suala yey kufuatilia matumizi yako hapo ni shida, mkubaliane kuchanga kiasi kila mwezi ila ile akiba yako asifuatilie maana hy niya matumiz yako binafsi kama mwanamke.

ushauri wangu ni huo tu.

Mmmmwaaaaaaah!!!!.....samahani dada limeniponyoka....kutokana na coment yako murua nimeshindwa kuvumilia.......will you marry me...??
Please say YES....
 
fedawa usiwe muongo laiti kma angejua mshahara wako asingekuuliza

soma bs uelew vizuri mada,issue sio kujua mshahara ila ni kutaka kujua matumizi yote yani hadi kununua hereni,nguo n.k
 
Last edited by a moderator:
Kama inatosha vile. .ila mbona wanaume tunaoaga wanawake wasiokuwa na kazi

Hahahaaaaa umetisha sana mkuu. Natamani mwenye uzi aone hii comment yako.

Naona wenzetu wanaona ni nuksi kuolewa na mwanaume asiye na kazi.
 
Ushaur mzur sana, kuna familia zingne znaweka mabint mtaji......







We kaka acha tu, bint akikosa msimamo kipindi cha kumtambulisha mwenzie, atapelekeshwa hadi ashangae. mara nyingi wababa hawana shida ila wamama wanapenda mali nyingi na harusi za kifahari ili wapewe sifa na mjirani, wakati mwingine binti mwenyewe ni full sheeeeda.
 
Salaaam wanaJamiiForums hope wazima.

Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.

No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu

No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.

Nisaidien kimawazo.

Pamoja na kwamba umuhimu wa kabila kwa sasa ni kwa ajiri ya matambiko, hebu tujuze makabila yenu!
 
Salaaam wanaJamiiForums hope wazima.

Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.

No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu

No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.

Nisaidien kimawazo.

Pamoja na kwamba umihimu wa kabila lwa sasa no kwa ajiri ya matambiko,
 
We kaka acha tu, bint akikosa msimamo kipindi cha kumtambulisha mwenzie, atapelekeshwa hadi ashangae. mara nyingi wababa hawana shida ila wamama wanapenda mali nyingi na harusi za kifahari ili wapewe sifa na mjirani, wakati mwingine binti mwenyewe ni full sheeeeda.

Kwel, wamama ni knoma, nilimsindikiza jamaa angu, nimeenda sasa posa hyo nkajua utani, naambiwa 4.3ml, kumrudishia jamaa feedback akadata ingawa uwezo alikua nao lakin majukumu kibao kusomesha madogo,, baati nzur bint alimpenda jamaa wakakubaliana jamaa akapga mimba, ding akafukuza bint kaenda kwa jamaa maisha yanaendelea iv wanasubir mtoto azaliwe wabarik ndoa yao! na ukwen apeleke kilo 5 wakigoma shaur yao..
 
Kwel, wamama ni knoma, nilimsindikiza jamaa angu, nimeenda sasa posa hyo nkajua utani, naambiwa 4.3ml, kumrudishia jamaa feedback akadata ingawa uwezo alikua nao lakin majukumu kibao kusomesha madogo,, baati nzur bint alimpenda jamaa wakakubaliana jamaa akapga mimba, ding akafukuza bint kaenda kwa jamaa maisha yanaendelea iv wanasubir mtoto azaliwe wabarik ndoa yao! na ukwen apeleke kilo 5 wakigoma shaur yao..

wakati mwingine ni bora iwe ivo. kwakua amemmimba hapo hawana ujanja tena
 
Yani mtu namuita "mchumba" afu alete mambo yetu jf. Damn...!
 
Tatizo la watz wengi wamefungwa ktk suala la kazi(kuajiriwa) na mabinti wengi wanaamini mtu aliyeajiriwa ndo mtu mwenye uhakika wa maisha,wakati si kweli. Hapa kwetu km mtu siyo mwizi(mpiga dili) kazini,atakuwa masikini mpaka dunia inaondoka. Nataka nikutie moyo mdada,binafsi niliacha kazi ya mshahara wa 350000/= kwa mwezi-2006 december . Mambo yakawa magumu sana na mke akakimbia,Mimi mwezi June 2007 nikatimkia hapa dar nikiwa 4ml. Huwezi amini nazo nikatapeliwa nikabaki na laki 2 tu. Lkn nilikuwa nimejiapiza sitaki tena kuajiriwa. Natamani kukueleza jinsi nilivyohangaika na nilipo hivi sasa. Mfano mdogo,pamoja na biashara zingine lkn nna vibanda vya tigopesa sehemu 3 tofauti ambavyo vinaniingizia zaidi ya 3ml. Kwa mwezi. Nna maisha mazuri ingawa si tajiri lkn situmwi na sidaiwi na nilioa mke mzuri tu ambae ndo alinipa mtaji baada ya kumueleza mipango yangu. Mpokee mpnz wako wala usihofu.
 
Je wewe binafsi unamwamini kiasi gani?,
mtakapokuwa ndoani ,na ikatokea akachelewa kuwa na kipato chake, je upo tayari kuihudumia family yako 100% huku ukiendelea kumpenda na kumheshimu kama mumeo???.


salaaam wanajamiiforums hope wazima.

Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.

No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu

no 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? Kweli sijui nifanyeje.

Nisaidien kimawazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom