Salaaam wanaJamiiForums hope wazima.
Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.
No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu
No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.
Nisaidien kimawazo.
Mimi ni mwanamke jamani,nina mpenzi wangu naamini ananipenda nami nampenda, mimi nina kazi nae anayo lakini anataka aache sababu hawampi salary yake tangu aanze ana nusu mwaka lakini wamempa mwezi mmoja tu.
No.1,tatizo mpenzi wangu anataka nimwambie matumizi yangu yote ya mshahara hata kununua nguo, kusuka yaani kila kitu na anataka tuchange hela tuanze biashara kumbka ni wapenzi tu
No 2,kuna malengo alijiwekea moja wapo ni mwakani aje kwetu apose na atoe mahari. Sasa mpenzi hana kazi ya uhakika nawaza akija nyumbani ataweza kutoa mahari atakayopangiwa au tusubiri akipata kazi ndo tuanze mipango?mwenzangu analazimisha tufanye sa naogopa tusije tukaaibika kwa kulazimisha kitu,na anasema lengo lake moja likishindwa kutimia si ntamsaidia litimie? kweli sijui nifanyeje.
Nisaidien kimawazo.