Jamani nimeyakoroga naomba ushauri

Jamani nimeyakoroga naomba ushauri

Wewe ni mpumbavu!
Kwa vile umeshayakanyaga, fanya hivi kamwe usimuombe mkeo wala shemeji yako msamaha,,,,, mwanaume kamili haombi msamaha , hata kama alikukuta juu ya kifua cha mdogo wake kaza hivo hivo !

Note ! Endelea kutoa matumizi ya home kama kawaida , ikiwezekana zidisha, badili rtb zako kuwa unpredictable, usiwe unashinda home Mara kwa mara,,,, sometimes rudi ukiwa umekula kabisa oga lala,,,, ukiweza rudi za vijizawadi vya wanao wape pita hivi,,, kama una katoto under 3yrs huyo ndo mfariji wako ukiwa home cheza nako basi,,,,yani dili na mambo yako !

Chelewa chelewa kurudi home bila taarifa, endelea tena na tena ! Mwenyewe atajirudi, yeye ndio atakuomba msamaha, then rudi kama zamani mkaripie kwa onyo kali, sio kila unachoambiwa ni kweli ! Kingine tafuta namna huyo mke wa mtu aondoke hapo kwako
Wanaume wengi sikuhizi tuna tawaliwa na Wanawake inawezekana vipi Shemeji kaondoka kwa mume wake kusha jamaa ana muhifadhi ni kosa kubwa sana kalifanya, huyo shemeji yake ilitakiwa arudi kwa mume au Nyumbani kwasababu huyo Mume wake haja mtoa kwa jamaa.
 
Si useme ulikuwa unapima faith yake tu mwanaume ukakosa kitu cha kuweka hapo? Ama ukane useme shemeji anatabia mbaya huo ni uongo?
 
Pathetic halafu n watu wanaunga mkono hii nchi Ina wanaume wa ajabu haijawah tokea
 
Tushukuru wanawake wengi kiuchumi hawapo vizuri.

Kama sheria zetu zingekuwa nzuri ulitakiwa utalakiwe, uondoke nyumbani umwachie watoto kisha unatoa matumizi kila mwezi bila kukosa.

Kama ulitaka kucheat wanawake kibao mitaani... Wanaume waliooa

FORBIDDEN ZONES
-ndugu wa mke
-rafiki wa mke
-Jirani

Wanawake wanaongea saana.
Ongezea hapo na House girl
 
Chagua kimojawapo hapa

1. Endelea kukaa kimya...
2. Mwambie mkeo hutaki kumuona tena shemeji yako hapo kwenue maana anataka haribu ndoa yenu which is obvious maana hata kama umemtongoza kweli angekuchimba biti wewe peke yako kimya kimya pasipo kupeleka maneno kwa dada yake...

Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
 
Mzee baba kwa nin uliruhusu uyo mjane aje apo kwako ?

Na inategemea ulimwaga voko kwa namna gan kama ulichat nae ama kuongea nae akakurekodi huna namna ya kuchomok apo zaid ya kuomba msamaha t.

Lakini kama hakuna ushahidi wowote wa kuonekana kuwa umemtongoz uyo dada basi kataaaaaa kbs yaaaan
 
Sema sio mbaya umejaribu sema kipa kapangua😆😆 next time atakufurahisha.
 
Kamdomo Mzee kamekuponza...kabla hujafanya jambo fikiri mwisho wake kwanza.
 
Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.

Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.

Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .

Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
achana nae ikiwezekana timua baki na watoto wako tafuta mwingine au fukuza shemeji yeye anainjoi maisha anashiba anawapelekea wadau wanakamua tu
 
Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.

Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.

Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .

Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
Wewe ni mburula wa kutupwa. Nenda ukweni ukajieleze yaishe. Ila kuna watu mmna ujasiri kuliko shetani aisee.
 
Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.

Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.

Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .

Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
Hongera weee ni mwanaume kamili. Tena wala usiwe na presha wacha mke anune sii ujinga wake mwenyewe kuruhusu mdogo wake aje hapo kwenu.
Wee endelea na mambo kama kawaida wanakunyima mbususu wewe nenda tinder badoo mbususu zipo bwena tuu mwanawane
 
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe na mwanaume mpumbavu hii inakaaje?
 
Fukuzilia mbali kijana, aende zake tu yaishe! Umebeba jukumu la kumlea analeta zake, akatafute wa kumlea tu, kikubwa cha kwanza kana kabisa kwa mkeo kwamba huyu nduguyo kazusha hutaendelea kuentartain mzushi nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom