DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,677
- 81,640
Pole Sana
Kikubwa usikubali unabidi kukataa mwanzo mwisho
Kikubwa usikubali unabidi kukataa mwanzo mwisho
Huna akiliNimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
Eti ili nipoze machungu,wewe jamaa hujielewi kabisa yaani umetuaibisha wanaume wote tuonekane vichaa.Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
AsanteShusha hizi nondo kwa mkeo ata kama analia, kama huna ujasiri lewa kidogo:-
Nimekuoa wewe na umenipatia watoto, na sijao mdogo wako na mtoto wake, kutokana na hali ngumu ya uchumi anatakiwa aondoke arudi kwa mumewe au wazazi, maisha ni magumu. Aende alipopeleka mboga. Sitaki nimuone hapa nyumbani, asije kuniharibia ndoa yangu au kuwafanya watoto wangu wakose malezi ya wazazi. Maisha ya ndoa ni mke na mme, na si vinginevyo. Nateseka sana ili nikulishe wewe na watoto wangu, mvae vizuri, wasome vizuri, n.k kwa hiyo siko tayari kuhudumia kijiji au ndugu yoyote katika jasho langu. Unipe majibu anaondoka lini?Baada ya hapo usicheke, kaa kimya; yeye mwenyewe atakuja kukuomba msamaha.
Uzi ufungwe.Shusha hizi nondo kwa mkeo ata kama analia, kama huna ujasiri lewa kidogo:-
Nimekuoa wewe na umenipatia watoto, na sijao mdogo wako na mtoto wake, kutokana na hali ngumu ya uchumi anatakiwa aondoke arudi kwa mumewe au wazazi, maisha ni magumu. Aende alipopeleka mboga. Sitaki nimuone hapa nyumbani, asije kuniharibia ndoa yangu au kuwafanya watoto wangu wakose malezi ya wazazi. Maisha ya ndoa ni mke na mme, na si vinginevyo. Nateseka sana ili nikulishe wewe na watoto wangu, mvae vizuri, wasome vizuri, n.k kwa hiyo siko tayari kuhudumia kijiji au ndugu yoyote katika jasho langu. Unipe majibu anaondoka lini?Baada ya hapo usicheke, kaa kimya; yeye mwenyewe atakuja kukuomba msamaha.
Duh, kuna majitu humu ndani yamebobea! Ona ushauri huu! Wewe mwamba umebobea kwenye kuchukua shemeji zako!Show that you don't care, ukibanwa na wazee waambie hukua na lengo umefanya makusudi ili asepe
Wewe dogo itoshe kusema wewe ni kapumbavu! Hatuanzagi hivyo, wewe ulikurupuka ulitakiwa uanzie mbali kwanza kwa utani utani mwisho wa siku ungekuwa ki masikhara! Sasa umelikoroga kalinywe mwenyewe usitusumbue hapa!Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
Huyo binti huenda alikuwa anaumia kuwaona pamoja, hivyo alikuwa anatafuta nafasi ya kuwafarakinisha na hatimaye ukajaa kwenye mfumo.Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtu mzima hawezi kukosa akili hivi.
Hii ni chai.
Kwanza ulimwambiaje? Labda hata kuongoza hujui ndiyo maana kimebuma? Hebu tusimulie ulivyoanza kumwomba kitumbua!Hakuna maneno tu ya mdomo
'"Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.'"Nimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
Hizi zinaitwa akili za kitotoNimekuwa naishi na mdogo wa mke wangu. Yaani shemeji yangu amekuwa akiishi kwangu yeye na mtoto wake kwa zaidi ya miaka miwili. Huyu shemeji yangu alikuwa ameolewa ndowa ilivyo mshinda akahamia kwa dada yake yeye na mwanaye.
Sasa imefika mahali nikawa najiuliza nitaendelea kutuza familia ya mtu mwingine bila faida yoyote mpaka lini? Sasa siku moja nikajitia uchizi nikasema kwa vile nahudumia kila kitu basi angalau nimuombe huyu shemeji mapenzi ili nipoze machungu ya kulea mama na mtoto wa mtu mwigine.
Basi nilivyo tu jaribu shemeji akakasirika akaenda kumwambia dada yake . Sasa dada yake anasiku mbili ni kulia tu haongei na mimi hata kidogo . Watoto wnauliza baba umemfanya nini mama mbona analia sana, nashindwa cha kusema. Na mimi nimeamuwa nikae kimya siongei na shemeji wala mke wangu .
Naongea tu na watoto. Kila nikimwambia tuongee anakaa kimya na kuendelea kulia. Sasa ndio nimekuja kuomba ushauri kwenu. Najuwa humu kuna watu wengi huwenda kuna mtu kapitia changa mto kama yangu . Karibuni wote kwa ushauri.
ndowa
Pole sana, usingekuja kuanika hapa ningekushauri ukatae kwa nguvu hujamtongoza na ufukuze kabisa, ila ndo Ivo Wambea wa JF wameonanitaendelea kutuza