Wewe ni mpumbavu!
Kwa vile umeshayakanyaga, fanya hivi kamwe usimuombe mkeo wala shemeji yako msamaha,,,,, mwanaume kamili haombi msamaha , hata kama alikukuta juu ya kifua cha mdogo wake kaza hivo hivo !
Note ! Endelea kutoa matumizi ya home kama kawaida , ikiwezekana zidisha, badili rtb zako kuwa unpredictable, usiwe unashinda home Mara kwa mara,,,, sometimes rudi ukiwa umekula kabisa oga lala,,,, ukiweza rudi za vijizawadi vya wanao wape pita hivi,,, kama una katoto under 3yrs huyo ndo mfariji wako ukiwa home cheza nako basi,,,,yani dili na mambo yako !
Chelewa chelewa kurudi home bila taarifa, endelea tena na tena ! Mwenyewe atajirudi, yeye ndio atakuomba msamaha, then rudi kama zamani mkaripie kwa onyo kali, sio kila unachoambiwa ni kweli ! Kingine tafuta namna huyo mke wa mtu aondoke hapo kwako