Kuna wanawake wazuri huko nasikiaAsante sana jamani, bwana Makamee mimi nipo kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa hapa njia panda ya kwenda Mlangali na Liganga.
Karibu mremboHongera mwenzangu na mim mi bado kabisa sijaelewa chochote nikitaka kumtumia mtu text inakataa pia kuedit profile yangu yana asilimia 90 ya mambo yote sifaham naomba mnieleweshe pia
Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Isijeikawa ni mwenyeji uliyepigwa Ban, ukarudi kwa style hii. :focus:Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Hongera, umeamua kutumia jina la Kijiji!!!Asante sana jamani, bwana Makamee mimi nipo kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa hapa njia panda ya kwenda Mlangali na Liganga.
Angalizo- humu jamvini kuna makundi mbalimbali.
1.Wanaojifanya kujua kila kitu. Siasa wao,uchumi wao,utamaduni wao uwe makini.
2.Wapo waliopo mahsusi kutetea ujinga hata kama uko wazi-kua makini nao
3.Wapo wale ambao hawathamini mitazamo ya wengine kwa lolote lile-kua makini nao
KWA MUDA MFUPI TU UTAWAFAHAMU.
Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Hongera zako kwa kuweza kutua jamvini pia karibu sana. Wasalimie wote hapo kijijini waambie BAK wa JF anawasalimia sana. Waambie umeiona sehemu ya kuingizia hivyo upo tayari kuwasaidia ili uwaonyeshe sehemu ya kuingizia na wao waweze kujiunga.