Jamani nimefurahi sana

Jamani nimefurahi sana

Asante sana jamani, bwana Makamee mimi nipo kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa hapa njia panda ya kwenda Mlangali na Liganga.
Kuna wanawake wazuri huko nasikia
 
una roho ya karatasi?kama ndivyo changia mada za mapenzi tu siasa usijaribu.
 
Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.

Hongera sana na karibu ila sidhani kama wewe wa kwanza kijijini maana hata mie nipo kijijini
 
Kama sio mwalim mwenye degree, basi wewe ni polisi mwenye degree wamesambazwa wengi vjijin
 
Mkuu Pande Hizo Kuna Ardhi Bomba Sanaaaaaa! Naomba Kuwa Rafiki Yako Na Ntaku Pm Lakini Kama Hauruki Angani Maanaake Nyiee? Vp Mzee Bange Mzma?
 
Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Isijeikawa ni mwenyeji uliyepigwa Ban, ukarudi kwa style hii. :focus:
 
Asante sana jamani, bwana Makamee mimi nipo kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa hapa njia panda ya kwenda Mlangali na Liganga.
Hongera, umeamua kutumia jina la Kijiji!!!
 
Angalizo- humu jamvini kuna makundi mbalimbali.
1.Wanaojifanya kujua kila kitu. Siasa wao,uchumi wao,utamaduni wao uwe makini.
2.Wapo waliopo mahsusi kutetea ujinga hata kama uko wazi-kua makini nao
3.Wapo wale ambao hawathamini mitazamo ya wengine kwa lolote lile-kua makini nao
KWA MUDA MFUPI TU UTAWAFAHAMU.

wapo wale wanaoomba picha kwenye mada zote
 
Hongera zako kwa kuweza kutua jamvini pia karibu sana. Wasalimie wote hapo kijijini waambie BAK wa JF anawasalimia sana. Waambie umeiona sehemu ya kuingizia hivyo upo tayari kuwasaidia ili uwaonyeshe sehemu ya kuingizia na wao waweze kujiunga.

Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
 
Kama unaogopa kusakamwa,kutukanwa na kukashifiwa basi Epuka yafuatayo:

1: Sema vibaya vyama vyoote lakini usikiongelee vibaya chama chetu pendwa
2:Usiisifie nchi yako hata siku moja hasa kwenye mada zinazohusu mambo ya ndani ya Tz, lakini kama ni Tz na nchi nyingine basi usijaribu kuikosoa.
3: Usimsifie Rais wa sasa wa nchi.

Hayo ni ya msingi sana, mengine wadau wataendelea kukufahamisha; KARIBU SANA JAMVINI.
 
Hongera zako kwa kuweza kutua jamvini pia karibu sana. Wasalimie wote hapo kijijini waambie BAK wa JF anawasalimia sana. Waambie umeiona sehemu ya kuingizia hivyo upo tayari kuwasaidia ili uwaonyeshe sehemu ya kuingizia na wao waweze kujiunga.

Hehehe......JF is never boring kwakweli!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom