mie avatar yako tuKaribu sana.
Angalizo- humu jamvini kuna makundi mbalimbali.
1.Wanaojifanya kujua kila kitu. Siasa wao,uchumi wao,utamaduni wao uwe makini.
2.Wapo waliopo mahsusi kutetea ujinga hata kama uko wazi-kua makini nao
3.Wapo wale ambao hawathamini mitazamo ya wengine kwa lolote lile-kua makini nao
KWA MUDA MFUPI TU UTAWAFAHAMU.
umeshapata sehemu ya kuingiza?angalia usikosee ukaenda kinyume na .............Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Yupo, mzima sana tu
Jamani leo nimefurahi sana yaani nilikuwa naangaika kujiunga na Jamii forum na hatimaye leo nimeweza ila tangu saa tisa natafuta sehemu ya kuingizia bila mafanikio mpaka saa hizi ni saa 12 jioni ndio nimepaona. Jamani mnipokee mi ndio wa kwanza kijijini kujiunga.
Hongera mwenzangu na mim mi bado kabisa sijaelewa chochote nikitaka kumtumia mtu text inakataa pia kuedit profile yangu yana asilimia 90 ya mambo yote sifaham naomba mnieleweshe pia
Kuna wanawake wazuri huko nasikia
Kama sio mwalim mwenye degree, basi wewe ni polisi mwenye degree wamesambazwa wengi vjijin
wapo wale wanaoomba picha kwenye mada zote