Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,645
- 1,672
pole sana kwa huo msiba. Let him rest in Peace..Mungu alitoa na ametwaa, jina lake lihimidiwe!!! Amen
Pole mkuuPole Kwako Na Familia Ya Bestman. Alale Pema Peponi. Amina.
Steve Dii
jamani mwenzenu siku ya leo nimepata msiba mkubwa wa kupotelewa na bestman wangu mpendwa. Ameilea ndoa yangu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili tu. Nisipotembelea JF kesho mjue kuwa nipo kwenye majonzi majonzi mazito:A S cry:.
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina