KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
jamani mwenzenu siku ya leo nimepata msiba mkubwa wa kupotelewa na bestman wangu mpendwa. Ameilea ndoa yangu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili tu. Nisipotembelea JF kesho mjue kuwa nipo kwenye majonzi majonzi mazito:A S cry:.
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina